nessonlegend
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 1,698
- 1,508
Hapa dili ni kuongeza wabunge wengi wa upinzani ili kuleta uwiano au wabunge wa upinzani wawe 62%
Masema kweli ni mpenzi wa MunguHuyu kapanic,atachezewa mchezo mzuri tu,ngoja muda uamue.
Muhuni tu huyu mzee,Masema kweli ni mpenzi wa Mungu
Duuuh ana watoto wakali kinyama maana ni mixer ya mtu wa kaskazini na ngosha sasa hao hybrid wa hapo kaka majibu unayo mwenyewe. Alikuwaga hapo udsm miaka ya 2010+ hatari sanaChenge ivi hana binti au kajukuu ka kike nikatoe posa kuwa na mkwe anaejiamini hivo aisee
Acha uongo. Uongo dhambi kama hujui kaa kimya.au unatafuta ukuu wa wilaya kaka? Sio mbaya ukiupata unikumbuke katika ufalme wakoNa hivi hawa ivi na "mkulu"!!!
Hata mkulu kipindi cha kampeni zake alivyofika Bariadi hakumuombea kura mzee wa vijisenti wala kumshika mkono kumtambulisha kama ndie mgombea ubunge, hahahahaaha.
Hala hala isije ikawa kupigana kwa tembo tukaumia sie nyasi
huwezi kuamini hata sijakuelewa ulichoandika hapa!!!!Acha uongo. Uongo dhambi kama hujui kaa kimya.au unatafuta ukuu wa wilaya kaka? Sio mbaya ukiupata unikumbuke katika ufalme wako
Rubii habari za siku mingi aisee!Huyu ndiyo mwanaume sasa!
Hateteleki anajiamini haswa
Kila mbuzi anakula kutokana na urefu wa kamba yake!