kufanya nini..?kwani wewe ni Taxi driver..?alikuwa nataka nimpe lift waende na Boflo Mbezi Beach
Eeewaaa..... hayo ndo mambo sasa!Ha ha ha acha uchokozi bana wewe ulikuwa kupokei simu yangu ujue.........
Ngoja nikudipu zaidi maana nimefulia kinoma
Eeewaaa..... hayo ndo mambo sasa!
Wine yako ipo hapa kwenye droo!!
Ningekuwa nimeoa mwanamke kama wewe nisengenunua REDIO wala kulipia KISI-MBUSI maana duh hapa umeandika tu BUT mmmmh haya sasa ukiwa LIVE inakuaje? Sipati picha hao majirani na mahausigeli wangekukomaje???/ CC: MANI
una maanisha gololi......au nini......
Mwanaume mkweli hanaga MANENO MENGI,ANAONGEA MANENO MACHACHE
Ningekuwa nimeoa mwanamke kama wewe nisengenunua REDIO wala kulipia KISI-MBUSI maana duh hapa umeandika tu BUT mmmmh haya sasa ukiwa LIVE inakuaje? Sipati picha hao majirani na mahausigeli wangekukomaje???/ CC: MANI
HE!......mimi mbona nilitongozwa na mtu humu JF akaniambia anaendesha Hummer......cologne anapulizia Clive Christian No 1.......baba yeke ni nanihiii.....hivi atakuwa hasemi ukweli....? na ujue haongei kiswahili vizuri japo hajawahi kuvuka hata border ya Namanga....... Mrembo by Nature....think twice before you post things like this.......
Mtoa post , mbona kama umejeruhiwa mahali!? pooole kizenj
Hahahahahahahaha
daa haya madongo si mchezo japo kuna ukweli! Muda mwingine maongezi yana nogesha ila vitendo muhimu!