Rashidi Jololo
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,703
- 2,885
Wewe ni Ke au Me? Kama ni ke nitafute
Asee, kukosa kazi kunatufanya tujione wenye hatia,,,,mwenyewe niliwahi kuja huku na nilisadiwaKama kuna mtu ana kazi amsaidie dogo huo msoto usiombe ukukute usikie tu.
Hakuna haja ya kumcheka na kumdhihaki!
Maisha ni magumu kweli yajayo hayafurahishi hata kidogo kama mtu yupo tayari kulipwa 3000 na ni graduate katika level ya degree inabidi serikali ituangalie vijana la sivyo rate ya suicide inaweza kuongezeka kwa graduates wengi nikiwemo mimiwakuu hali siyo powa, hivi ni kweli humu hakuna mtu anamhitaji mfanyakazi wa kumpa 3000 kwa siku nina Degree ya Accounting and Finance nipo Arusha ila ikiwa hiyo kazi ya 3000 ipo Arusha itapendeza sana
Email yangu ni masaimasai3400@gmail.com
Maisha ni magumu kweli yajayo hayafurahishi hata kidogo kama mtu yupo tayari kulipwa 3000 na ni graduate katika level ya degree inabidi serikali ituangalie vijana la sivyo rate ya suicide inaweza kuongezeka kwa graduates wengi nikiwemo mimi