Haya maisha haya

Haya maisha haya

Watu wasomee kazi wawe na skills.
Bro tatizo sio hilo wewe pia haujui kuna wenzie amesoma nao kozi HIO HIO wamemaliza Chuo pamoja kabla hata ya kuchukua cheti tayari wameshapata Ajira wanafanya kazi Ila yeye mpaka leo kazi hajafanikiwa kupata hata kuajiriwa bado, kwa HIO punguza masimango Mzee Matola uitumie PhD yako vizuri kwenye kutoa ushauri na sio kulaumu
 
Naomi Mzima unatafuta mshahara wa 3000 so sad
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom