Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,354
- 23,258
Umesomeka vizuri sana kaka.Watu ni marafiki humu, wanafahamiana vizuri tu. Lakini nawatahadharisha wenye/waliopo kwenye ndoa, unless unataka kuiharibu ndoa yako, friendship inayotokana na humu huwa haina mwisho mzuri, you'll end up exposed tu, yaani labda upate kamalaika, otherwise kuna siku utavuliwa nguo.