Haya Magroup ya Whatsapp ni hatari sana kwa Wanandoa na Wachumba. Nimeshuhudia mambo ya Kutisha

Status
Not open for further replies.
Daaa! Sijapenda hiyo Tabia yako.
Hata wanaume wakikutana pia stori ni hizo hizo, si wamekutana wa jinsia moja kwa minajili hiyo, wajadili nn sasa
 
Jambazi;

Mbona naona umekuwa too judgemental kwa Daby?

Kama umeusoma Uzi huu ukauelewa na umesoma comments kwa comments sioni mahali ambapo huyo unayemu offend amekosea kiasi cha kumuweka "kapu" moja kwamba naye ni "muhusika".

Toka mwanzo amesisitiza kuletwa kwa ushahidi dhidi ya wanaotuhumiwa, (Jambo ambalo sio baya)

Pia ametoa maoni yake kwamba yapo makundi mazuri tu huko WhatsApp na mabaya pia yapo, ila tusihukumu kwa majumuisho mpaka tuogopeshane kuchangamana kwenye forums nyingine nje ya Jf ambazo zinaweza kuwa zime originate from closeness yao wahusika humu Jf mpaka wakaona uhitaji Wa kutengeneza " kutaniko" lao jingine huko.

Nadhani pia tujenge desturi ya kukosoana kwa staha bila kuhukumiana ama kukashifiana.

Yapo maisha mengine nje ya JF ambayo yanaweza zalishwa/tokana na mahusiano yetu humu ya kimaandishi na imaginations.
Haha Ngoda95 hiki nichakushangaa saana. Afadhali umeelewa lengo la comments zangu.
 
Kimsingi wabongo wengi tuna matatizo mengi tu ya kisaikolojia na kiakili, ndio yanapelekea tuko kama tulivyo. Hii michezo nadhani imekuwepo kitambo, teknolojia zinarahisisha tu. Kabla ya whatsApp, tulikuwa tunaisikia kwenye saluni za kike na kitchen parties(baadhi). Humu kwenyewe JF, kina mama wengi wanao-shine(specially MMU) ni wanaojihusisha na matusi kwa namna moja au nyingine.

Punchline is, badala ya kulaumu teknolojia, inabidi tujiangalie wenyewe. Kuna uzi mmoja watu walikuwa wanafunguka waliyopitia katika makuzi yao...dah! ulinifungua macho kuelewa kwanini baadhi wana-act wanavyo-act(It's been hell on earth). I'd say more than 60% of Tanzanians need some serious psychotherapy.
 
Mm kwa kwli kuna ck nlishka cm ya Msichana wangu wa kazi nilichokiona ilkuwa hatareee mtoto ana Magroup 20 yote n ya kishenzi shenzi mnoo. ...
 
Kimsingi wabongo wengi tuna matatizo mengi tu ya kisaikolojia na kiakili, ndio yanapelekea tuko kama tulivyo. Hii michezo nadhani imekuwepo kitambo, teknolojia zinarahisisha tu. Kabla ya whatsApp, tulikuwa tunaisikia kwenye saluni za kike na kitchen parties(baadhi). Humu kwenyewe JF, kina mama wengi wanao-shine(specially MMU) ni wanaojihusisha na matusi kwa namna moja au nyingine.

Punchline is, badala ya kulaumu teknolojia, inabidi tujiangalie wenyewe. Kuna uzi mmoja watu walikuwa wanafunguka waliyopitia katika makuzi yao...dah! ulinifungua macho kuelewa kwanini baadhi wana-act wanavyo-act(It's been hell on earth). I'd say more than 60% of Tanzanians need some serious psychotherapy.
kweli kabisa, kwa hilo nafunga mjadala wangu kuhusu haya mambo ya magroup ya watsap kila mtu aishi maisha yake kama inavyompendeza
 
Na uhakika mkuu na wewe lazma umechat(sago chart private)
Haiwezekani wanawake waongelee mambo ya kungengedana mle ati na ww umetulia tu na kutoa mimacho lazma utatamania tu
Halaf mkuu una miaka miwili upo ktk grup wewe hawakutoi tena humo
Ushafika kabxaaa humo kwenye hilo grup
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom