Mkuu are you serious!Mtoa mada big up sana
Mchumba wangu ni mpole sana nilipogundua point anazochangia kwenye magrup yao ikanisaidia kumjua yeye ni mtu wa aina gani ...nimegundua mdomo wake ni mchafu anasema matusi hatari na nimemuogopa na sijaamin kama ni yy
kwani nyingi inaanzia ngapiSijakuelewa kabisa. Umefanya utafiti kwa miaka mingi wakati whatsapp yenyewe haina miaka mingi. Au ndo kufurahisha watu!!!!
Sweetie kwenye ubuyu haukosekanagi.Aisee jf kuna raha yake, sihami ng'ooooo hata kwa kitochi cha mchina nitaingia tu....
Daby ujue kila mtu na mtazamo wake sio lazima tufanane.Hivi members wa hapa kuwa na group lao la whassap shida ipo wapi? Mbona tunakuwa na magroup ya familia ilihali nyumbani tunakutana?
Nafikiri mnatakiwa muulize je kilichosemwa ni sahihi kwa kutumiwa scree shots ila sio kuhoji uhalali wa uwepo wa hayo makundi.
Hakuna shida waendelee tu kujuanaHivi members wa hapa kuwa na group lao la whassap shida ipo wapi? Mbona tunakuwa na magroup ya familia ilihali nyumbani tunakutana?
Nafikiri mnatakiwa muulize je kilichosemwa ni sahihi kwa kutumiwa scree shots ila sio kuhoji uhalali wa uwepo wa hayo makundi.
Hakuna shida waendelee tu kujuana
Mimi inabidi nihoji uhalali wa whatsapp grps zinazotoka jf, especially kama hazina maudhui muhimu. If it's stories watu wanapiga stories humu, kutafutana kwenye hizo grps ni kumualika ibilisi aweke mazingira ya kutongozana na kutafunana tu, nothing more.Hivi members wa hapa kuwa na group lao la whassap shida ipo wapi? Mbona tunakuwa na magroup ya familia ilihali nyumbani tunakutana?
Nafikiri mnatakiwa muulize je kilichosemwa ni sahihi kwa kutumiwa scree shots ila sio kuhoji uhalali wa uwepo wa hayo makundi.
Kuna grup la wasangaji nilijipenyeza humu kabla adm hajakuunga unamtumia voice clip nikamtumia voice clip niliyokuwa nayo kwenye sim akaniruhusu kule ndani kulikuwa balaa yaani huwezi kuamini,. Walikuwa wanapeana appointment za kusangana.Ukimwaga Mafuta Ya Taa Ktk Shimo Lazma Mijoka Itatoka Huko Inawashwa. Mie Pia Nlishakua Ktk Hayo Magroup Kama UnderCover Agent And Trust Me,This Shit Is For Real. Alafu Hii Mijanamke Bota Hata Itumie Namba Ambazo Sio Wanazotumia Kifamilia Au Za Siri,Unakuta Wanatumia Namba Zao Na Ukiangalia Dp Unakuta Pic Za Familia Zao. Na Nimeshawafyatua Kama Wa2 Wake Za Watu (Hawajaolewa Ila Amezalishwa Na Anaishi Na Mtu). Do You Know What I Did?? Very Simple,Nlianzisha Mada Ya Kusquirt Most Wanasema Hawajawahi,So Unakuta Blinded By Lust Wanatamani. Mie Najipigia Pasi Like "Kuna Mkaka Alinikojoza Uyo Ila Now Tumeachana" Uwez
MAGROUP YA WHATSAP NI MADANGURO MAPYA YA MJINI NA MAKUADI WAPYA: NEW STRATEGY YA KUTAFUTIANA MABWANA. UTANDAWAZI AFRIKA UMETUSHINDA, HATUTUMII MITANDAO VIZURI.
NB: WADADA WANAUAMINI SANA USHAURI WA WADADA WENZAO HASA MARAFIKI, TOFAUTI NA SISI WANAUME.. WADADA WENGI HUWA HAWACHANGANYI NA ZAO.
Kweli mkuu hakuna shida yeyote
AiseeKuna grup la wasangaji nilijipenyeza humu kabla adm hajakuunga unamtumia voice clip nikamtumia voice clip niliyokuwa nayo kwenye sim akaniruhusu kule ndani kulikuwa balaa yaani huwezi kuamini,. Walikuwa wanapeana appointment za kusangana.
Fb kuna mama mmoja mke mtu mzima alikuwa ananitumia picha za hovyo.. sikulazia damu nikapiga
Sasa kama unajua kila mtu ana mtizamo wake kwanini wanaoanzisha makundi usione wana mtizamo tofauti na wako. Kuna makundi ya biashara. Kuna makundi ya diaspora watu tunasaidiana. Kuna kundi Mtz alibe-deported akasaidiwa. Sasa makundi ya humu hayana umuhimu kweli????Daby ujue kila mtu na mtazamo wake sio lazima tufanane.
Wewe mtizamo wako unaona sawa mimi wangu unaona si sawa maana kama ni mada tunajadili hapa jukwaan nikiwa na shida binafsi ntakuja private.
magroup ya familia na mengine yana umuhimu maana hakuna sehemu au mtakutana na kushare vitu mbali mbali kila wakati isipokua kwenye group.
Haya yote yanayotokea ni matokeo ya hayo magroup mpaka watu wanaanza kupanick...ila nimesoma shuhuda chache humu inaonyesha ni kweli hivyo vitendo vipo.
Ndo hivo sasaAisee
Eli79 uhalali upo kulingana na wanagroup. Maudhi muhimu ni yapi? Kila mtu anamaudhui muhimu kwake. Kama mtu kakubali kujiunga na group liwe la mapenzi siasa au biashara kwake ni Maudhi muhimu.Mimi inabidi nihoji uhalali wa whatsapp grps zinazotoka jf, especially kama hazina maudhui muhimu. If it's stories watu wanapiga stories humu, kutafutana kwenye hizo grps ni kumualika ibilisi aweke mazingira ya kutongozana na kutafunana tu, nothing more.
Akaa. Dada nayataka wapi mie hayo magroup mana mwisho wa siku nisije kosa pa kutokea bureDada wee vipi