Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 15,126
- 35,498
Hivyo ni vitu ambavyo hupachikwa kwenye macho.
Zinaitwa Contact Lenses.
Ata Marehemu Kanumba aliweka kwenye Movie ya Magic House
Ata Marehemu Kanumba aliweka kwenye Movie ya Magic House
Usalama upo ila madhara pia yapo kwa asiyefuata utaratibu
Du! yanatishaKuna siku nilienda kwa jamaa ile kugonga mlango kanifungulia msichana na macho yake yalikuwa kama ya paka
Nilikashangaa sana na kushtuka lakini nikakumbuka na mimi nilivaa Raizoni na Pekos [emoji23]
View attachment 1295444
Sent from my iPhone using Tapatalk
Usalama upo ila madhara pia yapo kwa asiyefuata utaratibu
Pia unaweza kutoa muda wowote.