Haya Mabegi Yamebeba Documents Gani Wanajamvi?

Haya Mabegi Yamebeba Documents Gani Wanajamvi?

Kuzidi kasi ya risasi ? Kwani wearable b.proof hazipo? Hayo mabegi ni pale unapo tokea vurumai ambayo inaweza kudhibitika ila mtu amefyatua risasi tayari hayo mabegi yanasaidia Nini? Uliona juzi kwa trump ilikuwaje?
sawa mr nimekuelewa ila usinichoshe basi
 
Me nisirushe BOMU kabisa nianze kuhangaika na risasi!? Hata hivyo kama mtu alikuwa ameshajiandaa kufanya assassin's hao mpaka wayafungue hayo mabegi ni Leo !?
Hayo mabegi yanafungua faster kuliko unavyodhani
 
Sio Kwa Kasi ya bomu na binaadamu hata likifunguka faster bomu hauwezi kuzuia Kwa bullet proof
Huwezi ukadhibiti kila kitu, unafanya yanayowezekana. Ulinzi wa viongozi una layer nyingi. Mpaka ufike kurusha bomu inabidi uwe karibu sana
 
Me nisirushe BOMU kabisa nianze kuhangaika na risasi!? Hata hivyo kama mtu alikuwa ameshajiandaa kufanya assassin's hao mpaka wayafungue hayo mabegi ni Leo !?
Ulishawahi ona lille gari ambalo lina ma antena kama kituo cha tv?(jammer)
Kazi yake ni kujibu mawazo kama yako, lakini kuna ballistic proof shield.
 
Ulishawahi ona lille gari ambalo lina ma antena kama kituo cha tv?(jammer)
Kazi yake ni kujibu mawazo kama yako, lakini kuna ballistic proof shield.
Sawa , hiyo challenge ni possible Kwa mtu ambaye Hana ujuzi na issues za military Intel kinyume na hapo ni kujidanganya
 
Ndani ya nchi yako unaweza kutembea kwa hofu ya namna hii kweli?

View attachment 3580263
Ila haters wa Samia bwana🤣🤣🤣🤣
Kwakweli mama amewashika pabaya mpaka wamegeuka wamekuwa kama matahiraaa. Hawajui wapinge lipi Wala waponde lipi..

Mama ameendelea kusimama palepale akiwa ngangari kabisa;
1. Walimpiga mkwara eti asichukue fomu, amechukua na ameshindwa.
2. Oooo, uchanguzi hautofanyika. Umefanyika na mama ameshindwa.
3. Wakapanga maandamano ya kumtoa, wameshindwa.....yalibuma.
4. Wamejaribu kumdhuru mitandaoni kwa kumchafua kwa Kila namna wakiungana na mashoga wenzao wa Kenya, mama hajali na anafanya mambo yake ya kuliletea maendeleo taifa letu pendwa akiwa kifua mbele.
5. Kitima na TEC yake wanatumia Kila aina ya mbinu kumchafua na kumharibia, lakini Mungu mwema.....mama ameendelea kusimama.
6. Wanapandikiza chuki katika uzanzibari wake, jinsi yake na dini yake. Mama ameendelea kuvikabili hivyo kishujaa kabisa.
7. Wanajaribu kuponda Kila hatua ya kimaendeleo anayoifanya, lakini wapi.....miradi inachomoza tu. Daraja la jangwani hiloooooooooo😋😋😋
Wana hasira haoooo🤪🤪🤪

Anyways, endeleeni na majungu yenu labda mtafanikiwa siku Moja.
 
Back
Top Bottom