Haya Mabegi Yamebeba Documents Gani Wanajamvi?

Haya Mabegi Yamebeba Documents Gani Wanajamvi?

Kuna uhusiano gani wa kuwa mlinzi wa rais/kiongozi mkubwa na miawani myeusi?
Lengo kuu ni kuficha macho yao ''Hide their eye movement'' anaweza akawa anakuangalia ila wewe huoni kama anakuangalia wewe,anakua anafanya scan kwa macho eneo hilo bila kuona kua amefocus kuangalia eneo gani,

Kwa kawaida mtu muovu humtazama mlinzi kwanza kama anamuangalia au anaangalia pembeni,so kama mlinzi kavaa dark sunglass,sio rahisi kujua kama anakuangalia wewe au anaangalia kwingine,ukivaa hizo miwani unakua unafocus to any potential attackers bila kuonwa movement ya macho yako.
 
Irizi z kikojani tu.
Kazi ni kipimo cha utu
 
Ndani ya nchi yako unaweza kutembea kwa hofu ya namna hii kweli?

View attachment 3580263
Mwana jamvi
Hiyo inaitwa PORTABLE BULLET-PROOF SHIELD, wengne wanaenda mbali sana hadi kuwa na BALLISTIC&BULLET PROOF SHIELD

kukitokea la kutokea, hao wenye suti huyafungulia na kukinga VIP SUBJECT, na kumpeleka palipo na usalamaa ili kumkwepesha na hatari.

wakati wakimpeleka palipo salama, CAT (Counter Assault Team) hubaki ku neutralize hali ya hewa kwa kukabiliana na tishio lolote la usalama.

CAT ni wale ambao huwa wamevaa magwanda yasiyojulikana kuwa ni ya jeshi la nchi gani.

Nchi yoyote humlinda rais wake au kiongozi wake kwa gharama kubwa ili kuepusha gharama na madhara yanayoweza kutokea kutokana na uzembe wa kiusalama.

Umeelewa CIA wa tunduma mpakani?
 
Hivi hao wenye nguo nyeusi wa pembeni mbona wamekaa kizembe sana? Vitambi vikubwaa, minyama uzembe imewakaa hao wanaweza kupigana kweli au wanajua kungfu?

Bora hata angewatumia bodyguards kama akina mudy mnyama na onesmo
 
Back
Top Bottom