Foffana
JF-Expert Member
- Oct 29, 2022
- 3,058
- 5,247
Ashakum si MatusiSiyo QM au econometrics?
Econometrics hapana
Ashakum si MatusiSiyo QM au econometrics?
Daah hii Enonometrics sijui, nilichomoaje hii Ngoma.Ashakum si Matusi
Econometrics hapana
Favours 😁Daah hii Enonometrics sijui, nilichomoaje hii Ngoma.
Probably... Maana yule mzee alikua amenyooka sanaFavours 😁
Siku hizi wanatembeza mpaka A na B+ karibu nusu darasa 😁Probably... Maana yule mzee alikua amenyooka sana
Siku hizi malect ni masela sana, hamshindwani sana, wale wazee walikua hawataki Hela wanataka ushinde library kina kabudi wanaokwambia A ni ya Mungu kamwe hawezi toa A.Siku hizi wanatembeza mpaka A na B+ karibu nusu darasa 😁
Duh Hata wale wa vipaji maalum walikuwa hawagusi?Siku hizi malect ni masela sana, hamshindwani sana, wale wazee walikua hawataki Hela wanataka ushinde library kina kabudi wanaokwambia A ni ya Mungu kamwe hawezi toa A.
Mabegi yamejaa dokolaa za kuwagawia watoto wa miaka miwili hadi mitano ambao wanatakiwa kupata mafunzo ya kuandamana,kushika fimbo na kupindua "ziligare"!
Kule mlimani kuna dr kirama and lokina.Daah hii Enonometrics sijui, nilichomoaje hii Ngoma.
Umenikumbusha yule jamaa reptilia aliyekuwa anageuka geuka kama roboti nimecheka sana.Huyo wa mbele mwenye kipara anajiona kama wa kwenye Ile Conspiracy ya wale walinzi wa Obama wa Reptilian Shape Shifter.
Anyway tumezoea kutishana.
Kule udsm main campus, kuna mhaya mmoja anaitwa karamagi, daaah kwenye intermediate micro eco, mwaka wa pili, alikuja akatazamaaaa, halafu akauliza nyie ndo wachumi eee, mbna mpo wengi sana? Inatakiwa mpungue...kilichofuata GOD knows...Siku hizi malect ni masela sana, hamshindwani sana, wale wazee walikua hawataki Hela wanataka ushinde library kina kabudi wanaokwambia A ni ya Mungu kamwe hawezi toa A.
sasa ulitaka watembee nayo kama bendera ile ikitokea tukio inakunjuliwa kirahisi na kwa uharaka zaidiBullet proof inazuiaje risasi ikiwa imekunjwa namna hiyo. Mtu ashambulie ndio mpalangane kukunjua hizo proof?
Kuzidi kasi ya risasi ? Kwani wearable b.proof hazipo? Hayo mabegi ni pale unapo tokea vurumai ambayo inaweza kudhibitika ila mtu amefyatua risasi tayari hayo mabegi yanasaidia Nini? Uliona juzi kwa trump ilikuwaje?sasa ulitaka watembee nayo kama bendera ile ikitokea tukio inakunjuliwa kirahisi na kwa uharaka zaidi