Haya mabasi ya MJ yanakera!!

Bagenyi

Member
Jun 29, 2011
26
3
Mimi ni miongoni mwa abiria wanaosafiri na mabasi ya MJ ya Kondoa to Dar. Haya magari kwa nje yanaoneka bomba lakn ni mabovu kuliko hata DCM za Mbagala 2 Kivukoni. Kwa usafiri wenye uhakika basi likitoka Dar. saa12asub. Kondoa linaingia saa12:30 jioni. Lakn siku hizi yanaingia mpaka saa5 usiku. Hili wanajf wenzangu mwalionaje?
 
Sumatra wanasubiria yapate ajali ili wayafungie. Mungu atuepushie hilo.
 
ww kama mlaji una choice pia. chema chajiuza,kibaya chajitembeza. usipande hilo basi kama kuna choice nyingine. ingekua mwendo kasi ningekushauri wanaposimama kukaguliwa ratiba uwashtaki ka trafic na kumpiga biti trafic kua ajali ikitokea utamtaja. pole,ndo shida ya kukaa makalioni kwa nchi
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom