Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Kwa hiyo unaishi kimgongo mgongo yaani full usanii, ukimwaga mboga namwaga ugali. Hii ni asili ya maisha ya kisasi endapo utagundua umesalitiwa badala ya kusamehe.Mim bado nipo sana 2! Msimamo ninao mwelekeo ninao.. Ila m2 akileta maigizo nami namletea usanii vile vile... Mtu unatakiwa kuwa mguu ndani na nje pia.