Mwenyeminazi
Senior Member
- May 24, 2012
- 194
- 67
- Thread starter
-
- #21
Watumie message kuwa umesha athirika na ngwengwe wote watakukimbia!!
Naomba ushauri jamani. wasichana woote niliowapa mambo kabla sijaoa wanataka niendelee kuwapa mambo flani.Simu zao zimekuwa chungu kwangu na ndoa yangu. nabadilisha namba nashangaa kuona wanajua namba zangu mpya na nnajiuliza wanazipataje. Namueleza wife kuwa sina mahusiano nao inakuwa balaa..................
NIFANYAJE????????????????
Sasa kama hawa wansumbua hivi ukizaa nao si ndio matatazo na vijisababu vya kutaka niwe wao mzima mzima.Nimesoma thread yako unatafuta mwanamke wa kuzaa naye, hapa unasema wanawake hawataki kuachana na wewe hata baada ya kuoa. Na kama unatafuta mtu wa kuzaa naye si angalia kwenye hao wanaokuganda?
Jamani Sihongi. Sometimes mi ndio nahongwa. Kuna mmoja anapiga mabiashara yake ya China, Hong kong na kwingineko. Akija hapa DSM tu ananitafuta. ananiagizia gari ya kuja kunichukua. Kabla sijawa muaminifu Nilikuwa nampa. Doozi nilikuwa nawapa. huyo yeye alishawahi kuniambia Hajawahikwenda hewani mata Tatu kwa kwa moja ila mi ndio nimempa. Na akasema Haniachi hata iweje. mi nikajua ni mauongo tu ya pale kunako 6*6. sasa ni kweli anasumbua. sijui nawaachaje. wako kama nane. watatu sio wasumbufu wananitafuta kwa kubip. nishaurini vizuri jamani nahitajikuokoa ndoa yangu wana JF
Jamani Sihongi. Sometimes mi ndio nahongwa. Kuna mmoja anapiga mabiashara yake ya China, Hong kong na kwingineko. Akija hapa DSM tu ananitafuta. ananiagizia gari ya kuja kunichukua. Kabla sijawa muaminifu Nilikuwa nampa. Doozi nilikuwa nawapa. huyo yeye alishawahi kuniambia Hajawahikwenda hewani mata Tatu kwa kwa moja ila mi ndio nimempa. Na akasema Haniachi hata iweje. mi nikajua ni mauongo tu ya pale kunako 6*6. sasa ni kweli anasumbua. sijui nawaachaje. wako kama nane. watatu sio wasumbufu wananitafuta kwa kubip. nishaurini vizuri jamani nahitajikuokoa ndoa yangu wana JF
Sasa kama hawa wansumbua hivi ukizaa nao si ndio matatazo na vijisababu vya kutaka niwe wao mzima mzima.
Wa kuzaa nae ni yule ambae naye anataka mtoto na mambo ya kufuatana futana yanakuwa hakuna.
We niaje??? hujaoa nini?????
kwani una ukoo na almasi???Naomba ushauri jamani. wasichana woote niliowapa mambo kabla sijaoa wanataka niendelee kuwapa mambo flani.Simu zao zimekuwa chungu kwangu na ndoa yangu. nabadilisha namba nashangaa kuona wanajua namba zangu mpya na nnajiuliza wanazipataje. Namueleza wife kuwa sina mahusiano nao inakuwa balaa..................
NIFANYAJE????????????????
he he he he he, umesema wapo wangapi 8??? kaka kwani ipoje uwiiiiiiiiiiiiiiii! tumia na kinga pia, maana hao 8, na wao wana watu wao wa nje yako, lol!Jamani Sihongi. Sometimes mi ndio nahongwa. Kuna mmoja anapiga mabiashara yake ya China, Hong kong na kwingineko. Akija hapa DSM tu ananitafuta. ananiagizia gari ya kuja kunichukua. Kabla sijawa muaminifu Nilikuwa nampa. Doozi nilikuwa nawapa. huyo yeye alishawahi kuniambia Hajawahikwenda hewani mata Tatu kwa kwa moja ila mi ndio nimempa. Na akasema Haniachi hata iweje. mi nikajua ni mauongo tu ya pale kunako 6*6. sasa ni kweli anasumbua. sijui nawaachaje. wako kama nane. watatu sio wasumbufu wananitafuta kwa kubip. nishaurini vizuri jamani nahitajikuokoa ndoa yangu wana JF
Mkeo hawezi kuzaa?Sasa kama hawa wansumbua hivi ukizaa nao si ndio matatazo na vijisababu vya kutaka niwe wao mzima mzima.
Wa kuzaa nae ni yule ambae naye anataka mtoto na mambo ya kufuatana futana yanakuwa hakuna.
We niaje??? hujaoa nini?????
he he he he he, umesema wapo wangapi 8??? kaka kwani ipoje uwiiiiiiiiiiiiiiii! tumia na kinga pia, maana hao 8, na wao wana watu wao wa nje yako, lol!
Jamani Sihongi. Sometimes mi ndio nahongwa. Kuna mmoja anapiga mabiashara yake ya China, Hong kong na kwingineko. Akija hapa DSM tu ananitafuta. ananiagizia gari ya kuja kunichukua. Kabla sijawa muaminifu Nilikuwa nampa. Doozi nilikuwa nawapa. huyo yeye alishawahi kuniambia Hajawahikwenda hewani mata Tatu kwa kwa moja ila mi ndio nimempa. Na akasema Haniachi hata iweje. mi nikajua ni mauongo tu ya pale kunako 6*6. sasa ni kweli anasumbua. sijui nawaachaje. wako kama nane. watatu sio wasumbufu wananitafuta kwa kubip. nishaurini vizuri jamani nahitajikuokoa ndoa yangu wana JF