Usiogope, matusi lazima utandikwe, maana umeshachokonoa mzinga wa nyuki watakuuma tu!!1:EDWARD LOWASA.....huyu anatumia nguvu kubwa sana kuusaka uraisi, kama uwaziri mkuu ulimshinda sidhani kama anaweza kuongoza Tanzania.Ni mtu anayesemekana kua na maamuzi magumu lakini anashindwa hata kutetea haki yake ndani ya chama, sasa kwa namna hii hatatufaa.
2:BENARD MEMBE.....Huyu amekua mkimya mnoo, hatuelewi misimamo yake juu ya mambo muhimu yanayotikisa nchi, mfano tu juu ya escrow saga hatukusikia kauli yake.Tanzania ya leo, hatuhitaji watu wa aina yake kutuongoza.
3:JOHN MAGUFURI....scandal ya bil 256 inajidhihirisha kabisa kua nae ndio walewale tu.Pia kuna uzi hapa wa ocampo four alimchambua vizuri sana sipendi kurudia
4😀R SLAA...Ukimsikiliza kwa makini utagundua nae hana jipya, hana fikra mpya juu ya tanzania ya miaka mingi ijayo.Kila siku analalamika tu ufisadi ufisadi, hatuambii ni mbinu gani zinaweza kutumika ili kuondokana na ufisadi na wizi wa rasilimali za umma.Hatuhitaji mtu wa kulalamika, tunahitaji mtu wa kutupa solution za matatizo yaliyopo.
5:IBRAHIM LIPUMBA. ...ameshindwa kuendeleza CUF kwa upande wa bara, sidhani kama anaweza kuindeleza tanzania.
Najua wengi nimewagusa pls msije na mitusi, tujadili kwa hoja.
1:EDWARD LOWASA.....huyu anatumia nguvu kubwa sana kuusaka uraisi, kama uwaziri mkuu ulimshinda sidhani kama anaweza kuongoza Tanzania.Ni mtu anayesemekana kua na maamuzi magumu lakini anashindwa hata kutetea haki yake ndani ya chama, sasa kwa namna hii hatatufaa.
2:BENARD MEMBE.....Huyu amekua mkimya mnoo, hatuelewi misimamo yake juu ya mambo muhimu yanayotikisa nchi, mfano tu juu ya escrow saga hatukusikia kauli yake.Tanzania ya leo, hatuhitaji watu wa aina yake kutuongoza.
3:JOHN MAGUFURI....scandal ya bil 256 inajidhihirisha kabisa kua nae ndio walewale tu.Pia kuna uzi hapa wa ocampo four alimchambua vizuri sana sipendi kurudia
4😀R SLAA...Ukimsikiliza kwa makini utagundua nae hana jipya, hana fikra mpya juu ya tanzania ya miaka mingi ijayo.Kila siku analalamika tu ufisadi ufisadi, hatuambii ni mbinu gani zinaweza kutumika ili kuondokana na ufisadi na wizi wa rasilimali za umma.Hatuhitaji mtu wa kulalamika, tunahitaji mtu wa kutupa solution za matatizo yaliyopo.
5:IBRAHIM LIPUMBA. ...ameshindwa kuendeleza CUF kwa upande wa bara, sidhani kama anaweza kuindeleza tanzania.
Najua wengi nimewagusa pls msije na mitusi, tujadili kwa hoja.
Subiri ilani ya uchaguzi ya Ukawa ndiyo utaona mipango inayitekelezeka na itakayoiondoa CCM. Watu wako kazini sasa hivi.
Usiogope, matusi lazima utandikwe, maana umeshachokonoa mzinga wa nyuki watakuuma tu!!
Subiri ilani ya uchaguzi ya Ukawa ndiyo utaona mipango inayitekelezeka na itakayoiondoa CCM. Watu wako kazini sasa hivi.
1:EDWARD LOWASA.....huyu anatumia nguvu kubwa sana kuusaka uraisi, kama uwaziri mkuu ulimshinda sidhani kama anaweza kuongoza Tanzania.Ni mtu anayesemekana kua na maamuzi magumu lakini anashindwa hata kutetea haki yake ndani ya chama, sasa kwa namna hii hatatufaa.
2:BENARD MEMBE.....Huyu amekua mkimya mnoo, hatuelewi misimamo yake juu ya mambo muhimu yanayotikisa nchi, mfano tu juu ya escrow saga hatukusikia kauli yake.Tanzania ya leo, hatuhitaji watu wa aina yake kutuongoza.
3:JOHN MAGUFURI....scandal ya bil 256 inajidhihirisha kabisa kua nae ndio walewale tu.Pia kuna uzi hapa wa ocampo four alimchambua vizuri sana sipendi kurudia
4😀R SLAA...Ukimsikiliza kwa makini utagundua nae hana jipya, hana fikra mpya juu ya tanzania ya miaka mingi ijayo.Kila siku analalamika tu ufisadi ufisadi, hatuambii ni mbinu gani zinaweza kutumika ili kuondokana na ufisadi na wizi wa rasilimali za umma.Hatuhitaji mtu wa kulalamika, tunahitaji mtu wa kutupa solution za matatizo yaliyopo.
5:IBRAHIM LIPUMBA. ...ameshindwa kuendeleza CUF kwa upande wa bara, sidhani kama anaweza kuindeleza tanzania.
Najua wengi nimewagusa pls msije na mitusi, tujadili kwa hoja.
Ndugu watu wa kusini wasafi ndugu karibia wote kuanzia mwandosya
Mkuu unapo sema dr slaa. Hana jipya unakosea sana kumbuka dr slaa kipindi kile yuko bungeni aliwahi kuchukua tuzo kwa kuongoza kuuliza maswali ya msingi bungeni na tena ukiangalia katika watu uliowaweka bapo juu dr slaa ndio anaongoza kwa kuwa na nidhamu amini usiamini.
Hatuhitaji tu usafi wa mtu bali uwezo wake kiutendaji ndo msingi wa mambo yote.Mwandosya hajuhusishwa na kashfa yoyote ya ufisadi lakn pıa hana record ya chochote muhmu alichofanya.Nilishagaa kwenye escrow saga akijenga hoja ati hela ilikuwa ya serikali kwa sababu ilikuwa kwenye vitabu vya maheşabu ya BOT &TANESCO-profesa???Walele wale tu!Hajuı kuwa liabilities zınatakiwa kuonekana kwenye vitabu?Jembe ni Slaa na Chadema.Slaa anasimamia dhana kuu ya uwajibıkajı wa wananchı na viongozi wa umma pamoja na elimu bora fullstop.Ufisadi na mengne ni mnyambuliko wa hayo mawl.
Usiogope, matusi lazima utandikwe, maana umeshachokonoa mzinga wa nyuki watakuuma tu!!
Nani anafaa kua rais?
1:EDWARD LOWASA.....huyu anatumia nguvu kubwa sana kuusaka uraisi, kama uwaziri mkuu ulimshinda sidhani kama anaweza kuongoza Tanzania.Ni mtu anayesemekana kua na maamuzi magumu lakini anashindwa hata kutetea haki yake ndani ya chama, sasa kwa namna hii hatatufaa.
2:BENARD MEMBE.....Huyu amekua mkimya mnoo, hatuelewi misimamo yake juu ya mambo muhimu yanayotikisa nchi, mfano tu juu ya escrow saga hatukusikia kauli yake.Tanzania ya leo, hatuhitaji watu wa aina yake kutuongoza.
3:JOHN MAGUFURI....scandal ya bil 256 inajidhihirisha kabisa kua nae ndio walewale tu.Pia kuna uzi hapa wa ocampo four alimchambua vizuri sana sipendi kurudia
4😀R SLAA...Ukimsikiliza kwa makini utagundua nae hana jipya, hana fikra mpya juu ya tanzania ya miaka mingi ijayo.Kila siku analalamika tu ufisadi ufisadi, hatuambii ni mbinu gani zinaweza kutumika ili kuondokana na ufisadi na wizi wa rasilimali za umma.Hatuhitaji mtu wa kulalamika, tunahitaji mtu wa kutupa solution za matatizo yaliyopo.
5:IBRAHIM LIPUMBA. ...ameshindwa kuendeleza CUF kwa upande wa bara, sidhani kama anaweza kuindeleza tanzania.
Najua wengi nimewagusa pls msije na mitusi, tujadili kwa hoja.