Mwisho ikawaje?Ramadhani Omary Mapuri alikutana na mgomo wa hivi
Nani huyo?Nasikia hana marinda.......
Ikawa kama he was never existed!!Mwisho ikawaje?
Karma has never been a traitor.Ikawa kama he was never existed!!
Hata kumpost huku JF ni makosa makubwa sana
Wandishi wamekaza
Ukitaka kuthibitisha mtokee.
Anatajwa kwa jina la kinyeo chake wewe ndio unakenua eti ametajwa!!!!?pamoja na hayo yote bado jf anatamba na kuongoza kwa kutajwa tajwa. kama vipi acheni kumtaja na humu. au nyie jf hamjamsusia? hamuwezi kukaa bila kumtaja? kwan asipotajwa na hao waandishi hatapewa salary?
Hata kama ni kuonyesha uhalisia ifikie wakati asahaulike na tuanze kampeni ya kutokumuandika anaempa kiburiKuonyesha uhalisia
Huku tutaendelea kumkosoa hadi hapo atakapojilekebisha Jf ni shule tosha kama tusipomuandika watu watakosa kujielimisha na kutambua ubaya wa kubebwapamoja na hayo yote bado jf anatamba na kuongoza kwa kutajwa tajwa. kama vipi acheni kumtaja na humu. au nyie jf hamjamsusia? hamuwezi kukaa bila kumtaja? kwan asipotajwa na hao waandishi hatapewa salary?