haibreus
JF-Expert Member
- Oct 1, 2009
- 295
- 106
Hivi uliaga JF au sikuelewa?KK leo umeamkaje??
Hivi uliaga JF au sikuelewa?KK leo umeamkaje??
Mnaotafuta wachumba jf muwe na maelezo yenye shibe humu wanawake wa jf wameitimu Bagamoyo chuo cha sanaa nawengine wapo Nyumba ya sanaa!!Hivyo kuweni makini msijekuta mnanachumbiwa wenyewe!!
Mnaotafuta wachumba jf muwe na maelezo yenye shibe humu wanawake wa jf wameitimu Bagamoyo chuo cha sanaa nawengine wapo Nyumba ya sanaa!!Hivyo kuweni makini msijekuta mnanachumbiwa wenyewe!!
mhandisi usanii nilipata shahada yake Havadi Yunivasiti.....he he.....ulikosekana sana ujue.....
Wamejaa sanaa tupu
mhandisi usanii nilipata shahada yake Havadi Yunivasiti.....he he.....ulikosekana sana ujue.....
Kaa mkao wakutokuwa na macho maana siku akiyanyonya hayo macho usije hapa kutafuta msaada!Kakakiiza,tunachumbikika bana,mbona unatupeperushia vindege?mbona mi nimebahatikwa mumuhumu<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/love.gif" border="0" alt="" title="Love" smilieid="220" class="inlineimg" />
Umeona simchezo humu kwanza wewnyewe tunaogopana utadhani Most wanted!!Je huyo mchumba unampataje inabidi ujipange kwelikweli!
Duh!! Hii ina ukweli??? I didn't knowMi naona hawa wanawake wamefundishwa na wanaume.
Mwanzoni kabisa JF ilikua ina wanawake wachche sana.
Wameingia humu wakajifunza from their brothers.
Tatizo they are smarter than their brothers and they can multitask.
Asante mumy mimi kufikiriwa nafaa???..lolzAfadhali
hata uwaeleze
hawa wanaongia na
poster ya kwanza anatafuta
Kuna wengine
wamo humu kwa muda wako single
wametulia tu..wanaangalia mienendo
kwanza..mtu kama huyo hata mie naweza
mpa chance..hahah lol
Nimeamka salama je hamjambo huko??je nanyie mmeamkaje??
Asante mumy mimi kufikiriwa nafaa???..lolz
Ahaaaaaa!mimi mzee wa subra sijatendwa ila hawa suravitabu nawaonea huruma kwakasi za wachumba ndani ya jf wakitegemea kupata ada!kumbe wao ndio watalipa kt mtoz na bia kwa sana bila kuambulia!.....!Nahisi Mzee wa Tgt umeingizwa chaka. Hope Diana Dabo diff amekutenda