Hawa wote hawalipi KODI hapa Tanzania

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,110
115,885
Ifike mahali tujadili uhalali wa kundi kubwa la wasiolipa Kodi yeyote ..halafu hao hao ndo wako mbele kuongeza Kodi kwa wananchi...kwanza hawa nao walipe Kodi kabla hawajaongeza Kodi yeyote ile..

Hii ni orodha ya wasio lipa kodi Tanzania..

1. Rais wa Tanzania
2. Makamu wa Rais
3. Waziri Mkuu
4. Mawaziri wote
5. Ma Naibu waziri wote.
6. Wabunge wote
7. Spika wa Bunge
8. Wakuu wa Mikoa
9. Wakuu wa Wilaya
10. Ma RAS
11. Ma DAS.
12. Majaji wote..
13. Maaskofu na Makanisa yote
14. Misikiti na BAKWATA
15. Wamachinga wote
16. Boda Boda wote
17. Wauza Chips wote.
18. Wamiliki Daladala
19. Madereva Daladala, makonda wote
20. Madalali wa magari, Nyumba wote
21. Vyama vya siasa vyote..
22.Mafundi simu wote
23.mafundi ujenzi wote
24 .wenye nyumba za kupangisha
25.wauza vyakula
26.mafundi gereji
27.kumbi za mziki na Harusi
28.ma MC wa harusi

Orodha ni ndefu mno ya watu wasio lipa kodi kabisa kwa vipato vyao.

Huku wanaokamuliwa.. watumishi na wafanyabiashara wenye leseni na maduka rasmi wanakamuliwa kupita maelezo..

Something has to be done....
 
Naomba kujua huyu namba moja aliyepo analipwa ngapi kama basic salary ili tujue tunaweza vuna sh ngapi kama kodi?

Nakumbuka Mkwere aliondoka akiwa na mshahara wa 35m kwa mwezi, Jiwe akaushusha hadi 9m.

Hao 13 NA 14 ndo wawe mstari wa mbele kupeleka kwa Kaizari vilivyo vya Kaizari
 
Naomba kujua huyu namba moja aliyepo analipwa ngapi kama basic salary ili tujue tunaweza vuna sh ngapi kama kodi?

Nakumbuka Mkwere aliondoka akiwa na mshahara wa 35m kwa mwezi, Jiwe akaushusha hadi 9m.

Hao 13 NA 14 ndo wawe mstari wa mbele kupeleka kwa Kaizari vilivyo vya Kaizari
Mshahara wa kisheria haushushi kwa kutamka unashushwa kisheria mbona hatujasikia kuna sheria ya mabadiliko ya mshahara wa raisi
 
Naomba kujua huyu namba moja aliyepo analipwa ngapi kama basic salary ili tujue tunaweza vuna sh ngapi kama kodi?

Nakumbuka Mkwere aliondoka akiwa na mshahara wa 35m kwa mwezi, Jiwe akaushusha hadi 9m.

Hao 13 NA 14 ndo wawe mstari wa mbele kupeleka kwa Kaizari vilivyo vya Kaizari
Uliona ule msafara wake achilia mbali usiojulikana. Unakumbuka matumizi ya matibu nje ya nchi yaliongezeka mara dufu kipindi chake ambacho alitwambia abadhibiti watumishi kutibiwa nje ya nch?
 
Kodi ipi inazungumzia!? Maana PAYE ni kwa wafanyakazi pekee.. VAT mtoa huduma, muuza budhaa na manunu bidhaa/huduma..

Kwani Rais sio mtumishi?
Das? DC sio watumishi?Why hawalipi PAYE?

Hao wote hawalipi kodi..
Hata mshahara wa askofu unatakiwa kukatwa PAYE..wa Imam vile vile..

Bodaboda wanatakiwa wakupe Risiti za efd..
Madalali wa nyumba..
 
Nadhani umewashtua vyema, warasimishe hizi shughuli nyingine nyingi kama u-MC n.k, mtu kila wiki anaingiza 1.6m straight to the pocket un-taxed kisha vyanzo vipya vya mapato unasema ni tozo za miamala na laini ambapo kodi tayari ipo?

Ni uvivu wa kutumia akili alizoiba, si mnasema anaitwa Madely sijui!

Na kama tozo hizi zitafutwa, tuanzishe movement ya kuvunja bunge kwakuwa halituhusu wananchi na zaidi kama kamati ya baraza la mawaziri inaweza kupindua maamuzi ya wawakilishi wa wananchi, tunahitaji hao wawakilishi kweli?
 
Kwani Rais sio mtumishi?
Das? DC sio watumishi?Why hawalipi PAYE?

Hao wote hawalipi kodi..
Hata mshahara wa askofu unatakiwa kukatwa PAYE..wa Imam vile vile..

Bodaboda wanatakiwa wakupe Risiti za efd..
Madalali wa nyumba..
Sahihi
 
Back
Top Bottom