Maili tatu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 830
- 1,065
Kwa kweli hawa jamaa ni wa kupigwa mfano wahindi,waarabu,wasomali,wahabesh,wayahudi kongole kwa kweli wanadisclipne sana kwenye kazi.....kuna mahali nilikuwa naishi nao ,yan inàtia raha sana familia inakaa sebuleni inapanga bajeti kila baada ya miezi sita, bajeti ya chakula na mambo mengine ya familia yan hadi vitoto vidogo vya miaka kumi na mbili pia vinashiriki na kuangalia kinachoendelea,wanathamini hata shilingi mia moja na kuhakikisha kila pesa haitumiki ndivyo sivyo ,inatumika kama ilivyopangwa.......
Biashara sasa ndo balaa,kama mahali pa biashara ni karibu na home yan panafikika kwa gari kwa dk kadhaa tu basi habari ya kununua msosi haipo yy anakula home hukooo ....watoto wakitoka shule wana sehemu mbili za kwenda kucheza mahali pa biashara yao ilipo au kutuli a nyumbani kusomasoma na kusaidia kazi au kwa wale waislamu naona wanaenda kusoma dini.mfano wayahudi wao watt wadogo kabisa hata kama ni familia ya kawaida wana tabia moja nzuri sana wanawafundisha watt wao kuwa kuna pesa ya kusave,kuspend na kutoa sadaka na pia pesa ya kuinvest so MTT anakua ktk mazngira hayo hadi utu uzima...........
Nilipenda sana hayo maisha ya namna ambayo kwetu ni tofauti kabisa yan ni matatizo kabisa baba anamiliki ardhi,nyumba kadhaa lakin family wala haijui chochote kisa utasikia mke wangu Huyu namuona ka mshirikina flani iv,na ndiyo maana haya makundi tajwa hapo juu huwa wanaoana wenyewe tu
Biashara sasa ndo balaa,kama mahali pa biashara ni karibu na home yan panafikika kwa gari kwa dk kadhaa tu basi habari ya kununua msosi haipo yy anakula home hukooo ....watoto wakitoka shule wana sehemu mbili za kwenda kucheza mahali pa biashara yao ilipo au kutuli a nyumbani kusomasoma na kusaidia kazi au kwa wale waislamu naona wanaenda kusoma dini.mfano wayahudi wao watt wadogo kabisa hata kama ni familia ya kawaida wana tabia moja nzuri sana wanawafundisha watt wao kuwa kuna pesa ya kusave,kuspend na kutoa sadaka na pia pesa ya kuinvest so MTT anakua ktk mazngira hayo hadi utu uzima...........
Nilipenda sana hayo maisha ya namna ambayo kwetu ni tofauti kabisa yan ni matatizo kabisa baba anamiliki ardhi,nyumba kadhaa lakin family wala haijui chochote kisa utasikia mke wangu Huyu namuona ka mshirikina flani iv,na ndiyo maana haya makundi tajwa hapo juu huwa wanaoana wenyewe tu