Kikusya
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 266
- 365
Nilipata pesa kwa kujinyima sana nikampa mdogo wangu ili tulime mpunga kwa sababu yeye ni mzoefu wa kulima hilo zao ila mtaji hana. Halikuwa analima eka mbili au chini ya hapo. mtaji wa eka tano, kuanzia kukatua mpaka kuvuna.
Cha ajabu badala ya mavuno ya mwaka mmoja akajikuta ameshika pesa nzuri, nilitegemea tuendelee na mtaji kwenda eka 10. Cha ajabu mwaka uliofuata akampeleka shule ya binafsi ya sekondari mtoto wake kwa mtaji ule.
Niliishiwa nguvu nikaomba hela angalau milioni 2, nikaishia zangu. Kwa kifupi biashara ni kanuni, sheria na malengo, kama usipofuata hayo hapo hakuna biashara. Ngoja nitafute mkinga au mchaga tufanye biashara pamoja.
Cha ajabu badala ya mavuno ya mwaka mmoja akajikuta ameshika pesa nzuri, nilitegemea tuendelee na mtaji kwenda eka 10. Cha ajabu mwaka uliofuata akampeleka shule ya binafsi ya sekondari mtoto wake kwa mtaji ule.
Niliishiwa nguvu nikaomba hela angalau milioni 2, nikaishia zangu. Kwa kifupi biashara ni kanuni, sheria na malengo, kama usipofuata hayo hapo hakuna biashara. Ngoja nitafute mkinga au mchaga tufanye biashara pamoja.