Nyange
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 3,517
- 1,869
Miaka ile nilipokuwa shule ya sekondary, baadaya mapinduzi ya Kagame, wale waliokuwa wachungaji makanisani, waalimu wa sekondari wote walirudi kwao kumbe walikuwa wakifanya mikutano usiku! Hawa watu ni hatari sana. mwandishi nimemkubali ameweka kitu hadharani! Mauaji ya alaiki yanayosemwa kuwa watusi waliuwawa sio kweli walio uwawa ni wahutu!