Hawa Watusi Jamani!! Kweli TZ Haina Mwenyewe

Hawa Watusi Jamani!! Kweli TZ Haina Mwenyewe

? cha mtemakuni kipi hicho wakati hata kummaliza nyamwasa mmeshindwa !!!! shame on u tutsis
hata binti mchanga Portia Karegeya aliwashinda, walijaribu kumzuia asiondoke uganda wakashindwa n'a bado hawajifunzi kuwa sasa wako porous
 
Hata Hitler alianza hivi hivi na Jews kutengeneza social phobia, victimization na mwishowe kuwafanya maadui.

Madudu anayofanya Kagame aina maana ndio maono yanayo bebwa na watutsi wote; kuna wanyarwanda chungu mzima waliokuwa assimilated katika tamaduni za kitanzania na hata siasa za Rwanda awana habari nazo.

Kama kuna watu hatari wahusika waangaike nao lakini si sahihi kila saa kushutumu kundi zima la watutsi kila mara.
 
Hata Hitler alianza hivi hivi na Jews kutengeneza social phobia, victimization na mwishowe kuwafanya maadui.

Madudu anayofanya Kagame aina maana ndio maono yanayo bebwa na watutsi wote; kuna wanyarwanda chungu mzima waliokuwa assimilated katika tamaduni za kitanzania na hata siasa za Rwanda awana habari nazo.

Kama kuna watu hatari wahusika waangaike nao lakini si sahihi kila saa kushutumu kundi zima la watutsi kila mara.
mkuu kama hakuna sociap phobia wala xenophobia ila ukweli ni kwamba HEMA empire ipo kweli ukienda uganda huwezi kuwa serkalini mpaka uwe jamii ya watutsi yaani mhima mnyankole ama mukiga!!!

hata burundi na rwanda kwa miaka mingi watutsi wanawatawala wahutu kma mang'ombe hata serikalini hawamo kabisa

ukienda congo ndio kabisaaaaa kivu zote mbili madini wananufaika nayo watutsi wanaojivika uraia wa congo na kujiita wanyamulenge ama wahema kule bunia hku wakitumia waasi wa kitutsi kma m23 kina ntaganda,nkunda na kina makenga kuitawala east congo yenye madini hku wahutu wakiteseka huko uvira!!

hivyo sio kagame tu ila watutsi wote kuanzia mwami kigeri mpaka mwami ntare cjui igumira wote walitesa wahutu sana hivyo alichosema mtikila ni ukweli kabisa watutsi lazma wadhibitiwe mie ni mtanzania ila nmeishi nao sana hawa watutsi sio watu kabisa
 
mkuu kama hakuna sociap phobia wala xenophobia ila ukweli ni kwamba HEMA empire ipo kweli ukienda uganda huwezi kuwa serkalini mpaka uwe jamii ya watutsi yaani mhima mnyankole ama mukiga!!!

hata burundi na rwanda kwa miaka mingi watutsi wanawatawala wahutu kma mang'ombe hata serikalini hawamo kabisa

ukienda congo ndio kabisaaaaa kivu zote mbili madini wananufaika nayo watutsi wanaojivika uraia wa congo na kujiita wanyamulenge ama wahema kule bunia hku wakitumia waasi wa kitutsi kma m23 kina ntaganda,nkunda na kina makenga kuitawala east congo yenye madini hku wahutu wakiteseka huko uvira!!

hivyo sio kagame tu ila watutsi wote kuanzia mwami kigeri mpaka mwami ntare cjui igumira wote walitesa wahutu sana hivyo alichosema mtikila ni ukweli kabisa watutsi lazma wadhibitiwe mie ni mtanzania ila nmeishi nao sana hawa watutsi sio watu kabisa
Inawezekana lakini cheusi (binti mmoja mwenye asili ya kitutsi hapa mtaani morroco) ninae mjua mimi ni muongo anawaza kuchuna. Yule ukimwambia habari za kupiga kura tu CCM na CDM au siasa anaweza piga mayowe huyo Kagame ata sijui kama anaelewa story yake yote au ata kama wana uhusiano.

Kuna watutsi wengi sana wa dizaini hizo.
 
mkuu kama hakuna sociap phobia wala xenophobia ila ukweli ni kwamba HEMA empire ipo kweli ukienda uganda huwezi kuwa serkalini mpaka uwe jamii ya watutsi yaani mhima mnyankole ama mukiga!!!

hata burundi na rwanda kwa miaka mingi watutsi wanawatawala wahutu kma mang'ombe hata serikalini hawamo kabisa

ukienda congo ndio kabisaaaaa kivu zote mbili madini wananufaika nayo watutsi wanaojivika uraia wa congo na kujiita wanyamulenge ama wahema kule bunia hku wakitumia waasi wa kitutsi kma m23 kina ntaganda,nkunda na kina makenga kuitawala east congo yenye madini hku wahutu wakiteseka huko uvira!!

hivyo sio kagame tu ila watutsi wote kuanzia mwami kigeri mpaka mwami ntare cjui igumira wote walitesa wahutu sana hivyo alichosema mtikila ni ukweli kabisa watutsi lazma wadhibitiwe mie ni mtanzania ila nmeishi nao sana hawa watutsi sio watu kabisa
Huuu ni uongo wa mchana kweupeee,
Hebu toa ushahidi Kama Kweli watutsi wanawatesa wahutu,
Au ni maneno tu kila mtu anaweza kuongea atakavyo,
Tuache uchochezi wa kipuuzi..!!
 
Hata Hitler alianza hivi hivi na Jews kutengeneza social phobia, victimization na mwishowe kuwafanya maadui.

Madudu anayofanya Kagame aina maana ndio maono yanayo bebwa na watutsi wote; kuna wanyarwanda chungu mzima waliokuwa assimilated katika tamaduni za kitanzania na hata siasa za Rwanda awana habari nazo.

Kama kuna watu hatari wahusika waangaike nao lakini si sahihi kila saa kushutumu kundi zima la watutsi kila mara.
Umenena vizuri kidogo, Ila hapo juu umeanza vibaya
 
Hili bandiko lina ukweli 80% lakin kuna makosa umeonesha unapendelea sana aasukuma,
1. Kwanza waliotokomeza majangiri hayo si wasukuma ni jeshi Na kambi zilizowekwa mle,
2. Maeneo ya kyamyorwa sio eneo la wasukuma ni wahaya, wanyaiyangiro wa muleba,
3. Pili maeneo ya kimisi, kasindaga, runzewe hujapataja bado watu wanatekwa sana Na kuuwawa, kama watokea biharamulo, kwenda bukoba mjini,

Lakin Sijawahi kuuelewa urafiki wetu Na Rwanda,
 
Hata Hitler alianza hivi hivi na Jews kutengeneza social phobia, victimization na mwishowe kuwafanya maadui.

Madudu anayofanya Kagame aina maana ndio maono yanayo bebwa na watutsi wote; kuna wanyarwanda chungu mzima waliokuwa assimilated katika tamaduni za kitanzania na hata siasa za Rwanda awana habari nazo.

Kama kuna watu hatari wahusika waangaike nao lakini si sahihi kila saa kushutumu kundi zima la watutsi kila mara.
Jitahidi kuandika vizuri kiswahili,baadhi ya maneno hayaeleweki vizuri hivyo kukosa tafisiri sahihi ya unachomaanisha
 
Inawezekana lakini cheusi (binti mmoja mwenye asili ya kitutsi hapa mtaani morroco) ninae mjua mimi ni muongo anawaza kuchuna. Yule ukimwambia habari za kupiga kura tu CCM na CDM au siasa anaweza piga mayowe huyo Kagame ata sijui kama anaelewa story yake yote au ata kama wana uhusiano.

Kuna watutsi wengi sana wa dizaini hizo.
Two rules of intelligent

1.never trust anybody.
2.never ignore rule 1.
 
Ukabila siyo mzuri...

Rwanda na burundi ni watoto wetu tanzania..mimi nashauri serikali ya tanzania iandae watu ambao ni machotara mixture ya hutu na tusi kisha walelewe tanzania kijeshi na kisiasa baada ya hapo tuwapeleke wakagombee urais huko rwanda na burundi na tuhakikishe wanashinda.

Lengo ni kutengeneza viongozi ambao hawana ukabila kabisa,viongozi ambao watamuona mtusi na mhutu kama ndugu..

Swala la ukabila ni mindsetting halina maana yoyote.
 
Umenena vizuri kidogo, Ila hapo juu umeanza vibaya
Soma historia ya watu kama kina Fritz Habar (German-Jewish) scientists jinsi gani walivyokuwa loyal to the state na walioanzisha mabomu ya sumu vita ya kwanza Ili ujerumani ishinde.

They dint fall from grace kwa sababu zisizo na msingi but because of Hitler mistrust campaign kutokana na feeling zake.

Similarly kama jamii hiz campaign za watutsi inabidi zikomeshwe wapo wengi sana ambao wamepokea tamaduni zetu na maisha yanaendelea. Kama wapo wanaotumika iwe shughuli ya vyombo vya usalama kuzuia hizo mbinu mbovu lakini huku kulisakama hili kundi kila siku na kuwapa label mbaya sio sahihi.
 
kiukweli watutsi wanadharau sana. Nlikuja huku nyantakara katikati ya runzewe na nyakanazi, kuna guest inaitwa JIPE RAHA ni ya mtutsi, nkachukua pale chumba., story za vijana wao zimejaa dharau kwa makabila mengine including kwa watanzania. wanasema watanzania ni wajinga. nliwaangalia kw hasira sana. watu wapo kwenye nchi yetu lakini dharau kibao. dawa yao ipo jikoni
 
Huuu ni uongo wa mchana kweupeee,
Hebu toa ushahidi Kama Kweli watutsi wanawatesa wahutu,
Au ni maneno tu kila mtu anaweza kuongea atakavyo,
Tuache uchochezi wa kipuuzi..!!
hahahahaha ushahidi??? kwani ni lini nyamwasa hajatoa ushahidi?? ni lini kakere hajatoa ushahahidi?? ni lini victoir ingabire au ntaganda hawajatoa ushahidi ila wako wapi sasa??? vp yule mhutu padri mliyemuweka kma rais sanamu hadi akajiuzuru!!! msitufanye watoto wadogo unafkiri hatujui kuwa 1994 tutsis mlikuwa only 200,000 rwanda ila death toll eti 800,000 afu mnaita tutsi genocide hao wahutu laki 6 nao ni watutsi!!!

ushahidi upo sana tu mie binafsi nmefika kote huko na kuona wahutu wanavyoteseka hasa uvira wakati ukivuka mpaka watutsi wanatawala serikali nzma ya rwanda rdc na uganda!!!!

narudia tena sio leo wala kesho ila cku yenu inafika i promise u mtasaga meno!! cku wahutu wakijielewa mtakuja kulaani siku mmezaliwa na hizo pua zenu

nakumbuka siku nipo na mtutsi wa congo katokea huko nyiragongo ananiambia eti hata cku moja hawezi olewa na mhutu!! eti nyie ni special race!! nliudhika sana ila najua iko siku mtavuna mlichopanda

time will tell
 
Ukabila siyo mzuri...

Rwanda na burundi ni watoto wetu tanzania..mimi nashauri serikali ya tanzania iandae watu ambao ni machotara mixture ya hutu na tusi kisha walelewe tanzania kijeshi na kisiasa baada ya hapo tuwapeleke wakagombee urais huko rwanda na burundi na tuhakikishe wanashinda.

Lengo ni kutengeneza viongozi ambao hawana ukabila kabisa,viongozi ambao watamuona mtusi na mhutu kama ndugu..

Swala la ukabila ni mindsetting halina maana yoyote.
mkuu hilo wazo lako alikuwa nalo rais wa kwanza wa burundi alivopewa uhuru tu akasema tutsi na hutu waungane hivyo yye binafsi akaoa mhutu ili wazae machotara pekee ila watutsi kuon hivo wakamfanyia mizengwe hadi akafariki ndio akaja mwambutsa na ntare hao ndio wakawa na roho ya kitutsi kwelikweli wakazaa ukabila

hata rwanda bada ya kigeri kufa ilitakiwa mhutu atawale still watutsi wakagoma wakaanza kuua wahutu!!

pia hata bagaza alipoanguka huko burundi yule rais wa burundi mpya alikaribisha watutsi kwenye serkali yake but still hawakutaka kugawana madaraka wakaishia kumuua na kumuweka rais mtutsi

so hataa hao machotara wa kupandikizwa watauwawa tu kwa mtutsi ni mwiko kuongozwa na mhutu ndio maana hta uganda wamehakikisha wagombea urais wakubwa museveni na besigye wote ni wanyankole ambalo ni kabila dada la watutsi

upo hapo!!
 
Inawezekana lakini cheusi (binti mmoja mwenye asili ya kitutsi hapa mtaani morroco) ninae mjua mimi ni muongo anawaza kuchuna. Yule ukimwambia habari za kupiga kura tu CCM na CDM au siasa anaweza piga mayowe huyo Kagame ata sijui kama anaelewa story yake yote au ata kama wana uhusiano.

Kuna watutsi wengi sana wa dizaini hizo.
Hao wapo 2% ila watutsi 90% as long as amekulia maziwa makuu huwa anadharau sana makabila megine na kujiona special

mimi nmeishi nao for almost 7 years kuanzia mbarara uganda au bunia rdc mpaka nyarubanda kigoma so najua nachokisema!! tutsis r evil na hajalishi wako wapi huwa hawasahau nature yao

mimi sio mkabila and most my friends r tutsis but to b realistic this guys are DEMONS inatakiwa warudishwe kwao ethiopia wakaishi na hamites na cuishites wenzao otherwis wakubali kutawaliwa na watu wengine pia
 
zitto junior, Sina uhakika kama ni Zitto ninaemsikiaga,ila kama kweli ni wewe au alietumia jina na picha yake,hakika unastahili kukaa kwanza na kufikilia upya ulichokiandika.
Historia ya Rwanda ni ya pekee,historia ya Tanzania ni ya pekee,hivyo,sina budhi kukwambia kwamba kamwe siasa za nchi hizi lazima ziwe sawa.
Kamwe hutoelewa historia ya Rwanda kama mnyarwanda,kamwe hutofeel maumivu waliyoyapata wanyarwanda,wawe walioua,waliokuwa wakiwindwa,na kila mwenye moyo wa kibinadamu.Hivi nikuulize Zitto,uliwahi angalau kuja Rwanda ukapate taarifa huko huko site kuliko hizi unazosoma magazetini na kuhadithiwa! Kama ni Zitto naekusikiaga,kaka yangu,kwenye siasa haya yapo sikatai,lakini,kama umeweza kuona thamani ya damu ya Lissu,kwa kujeruhiwa,ukafumbua mdomo wako na kutaka haki itendeke,kwa nini unaona Kagame ndo dictator? Hii ingekupa picha kamili ya maisha ya watusi unaowataja kuwa wababe leo,kuanzia miaka ya 1958. Kama unaijua thamani ya uhai wa binadamu;
-Unaweza kunieleza faida au ushujaa wa kuchinja mtu kwa kisu,panga,mkuki au siraha nyingine!
-Unayajua maumivu ya mzazi kutwangiwa kichanga kwenye kinu,na mwanamke aliyezaa!
-Unawaza nini kuhusu kifo cha wanawake watusi unaowasema,wakioshindiliwa milingoti sehemu zao za siri mpaka wanakata roho?!
-Unajisikiaje mwanamke,sawa na dada yako au mama yako,wanaume wanapishana juu ya kifua chake,kwa kulazimishwa,kisa wasikie utamu wa kabila tofauti?
-Ni kama wapi uliwahi sikia mtu analipa pesa ili auwae kwa risasi lisitumike panga?
-Umewahi angalau kuwatembelea walionusulika,wenye makovu ya wazi wakupe angalau historia yao?

Ni mengi tu lakini hayo ni badhi.Sasa basi, kama mtu huna msaada wa kumpa,usimpotoshe,kwa sababu hata kilichotokea ni uchochezi wa kuwaonyesha badhi ya watu kuwa wao ndo bora.
Watusi hao,walikimbilia nchi za watu kama watutsi, wakarudi wakiwa inkotanyi,wakapigania haki yao,walivyokomboa nchi wakawa wanyarwanda tu,si vingine,la hasha.
Kuna majina uliyoyataja,ila tu nikwambie kwamba yapo mengi,na nwingine atakayejisikia kuwekwa kwenye orodha hiyo atawekwa tu.
Rwanda ni nchi ya wanyarwanda,si shamba la bibi ambapo wajukuu wanatakiwa wajitawale.
Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake,lakini endapo hayahatarishi maisha ya wenzake au kuwatishia amani.Je,uliwahi kuuliza wahusika chanzo cha hao kuwa huko waliko? Kama haki mnayopigania kwenu huko,hata wanyarwanda wana haki sawa. Wenye itikadi kama za hao,ndo chanzo cha maovu yaliyoikumba nchi. Ni kweli alipigana vita ya kukomboa nchi,je hiki kinafaa kuwa kigezo cha yeye kutaka kutawala anavojisikia yeye? Hiyo vita alipigana yeye peke yake?Waliopoteza maisha na waliolemaa wasiojiweza,unadhani wanahitaji kuona hali ile inajitokeza tena?
Hamna mnyarwanda aliye juu ya sheria,labda aliyepo nje ya Rwanda,na huyo ayawasumbua anaokaa nao siyo wnayarwanda nchini kwao.

Kiongozi mhutu unayemsema,vita atakayoianzisha ni huko aliko,Rwanda ya sasa inavamia haivamiwi.Kama yupo anayeijamini,msaidieni aje atapokelewa
 
hahahahaha ushahidi??? kwani ni lini nyamwasa hajatoa ushahidi?? ni lini kakere hajatoa ushahahidi?? ni lini victoir ingabire au ntaganda hawajatoa ushahidi ila wako wapi sasa??? vp yule mhutu padri mliyemuweka kma rais sanamu hadi akajiuzuru!!! msitufanye watoto wadogo unafkiri hatujui kuwa 1994 tutsis mlikuwa only 200,000 rwanda ila death toll eti 800,000 afu mnaita tutsi genocide hao wahutu laki 6 nao ni watutsi!!!

ushahidi upo sana tu mie binafsi nmefika kote huko na kuona wahutu wanavyoteseka hasa uvira wakati ukivuka mpaka watutsi wanatawala serikali nzma ya rwanda rdc na uganda!!!!

narudia tena sio leo wala kesho ila cku yenu inafika i promise u mtasaga meno!! cku wahutu wakijielewa mtakuja kulaani siku mmezaliwa na hizo pua zenu

nakumbuka siku nipo na mtutsi wa congo katokea huko nyiragongo ananiambia eti hata cku moja hawezi olewa na mhutu!! eti nyie ni special race!! nliudhika sana ila najua iko siku mtavuna mlichopanda

time will tell

Kama kweli wewe ni Zitto mwenyewe,unahitaji kulelewa upya kisiasa.
1994 watutsi walikuwa 200,000? Sasa kama wahutu walikuwa 600,000,leo hii wanatajwa kuwa watutsi,unataka sifa nyingine wahutu wapewe ni ipi?
Halafu,kama watutsi walikuwa 200,000 leo hii wapo walionusulika,ina maana waliokufa hata 100,000 hawafiki? Aise,pole,basi kama kweli ni wewe,unahitaji msaada wa uelewa.
Kama siyo wewe mwenyewe,anaetumia jina lake anamkosea heshima sana
 
Kama kweli wewe ni Zitto mwenyewe,unahitaji kulelewa upya kisiasa.
1994 watutsi walikuwa 200,000? Sasa kama wahutu walikuwa 600,000,leo hii wanatajwa kuwa watutsi,unataka sifa nyingine wahutu wapewe ni ipi?
Halafu,kama watutsi walikuwa 200,000 leo hii wapo walionusulika,ina maana waliokufa hata 100,000 hawafiki? Aise,pole,basi kama kweli ni wewe,unahitaji msaada wa uelewa.
Kama siyo wewe mwenyewe,anaetumia jina lake anamkosea heshima sana
Hiyo ni ID tu unataka niweke jina langu ili mnisake mniue kma kakere ama nyamwasa???? pole sana mkuu

kuhus watutsi ndio and i dare u to challenge me kumbuka mlifukuzwa 1959 na wahutu wakatawala ssa nakuuliza wwe mtutsi kma kuendana na census ya 1959 mlikuwa 5% only.....ssa if at all mlitimuliwa unataka unimbie mlibaki wangapi???

lets say mlibaki 4% enhe alafu ndio mkachinjwa kma kuku almost one milion unataka kusema 1 million ndio 4% ya rwanda let alone bado mlisurvive wengi tu so unataka kusema rwanda ina population ya 15 million????

jiulize tu 5% ni ngapi kwa rwanda population in 1994????

nyie watutsi kma kweli mlichinjwa 1 milion by now mngekuwa only 1 thousand

haya wwe unayebisha njoo hapa na population sample ya 1995 inayoonyesha tutsi wea above 200 thousand rwanda by the tym of genocide
 
Back
Top Bottom