Hawa watu ni majipu msikitini

hahaha! itakuwa ukanda wa Gaza hapo...ila umechafua hali ya hewa subiri matusi kutoka kwa kina AL shababist
 
Hivi wao ndo wanahasira zaidi kuliko wenzao?mbona habari za wachungaji na mapadri zikiongelewa hakuna anayetukana
 
hivi MTU akitukana ama kukejeli dini ya mwingine nini anapata? anapunguza waumini,au anapewa thawabu ......wenye dini zao wanawaosha miguu wenzao
 
hivi MTU akitukana ama kukejeli dini ya mwingine nini anapata? anapunguza waumini,au anapewa thawabu ......wenye dini zao wanawaosha miguu wenzao
Mambo ya imani ndugu yangu magumu sana.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…