hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 54,347
- 80,219
hahaaaa JF nyokooooWewe unaejua kuweka nukta ni nani Tanzania hii??
Au wewe ndio Waziri mkuu Majaliwa?
Wazee wengine hata mchana unaweza kukuta haujala lakini maneno mengiii ya kukashifu watu.
hahaaaa JF nyokooooWewe unaejua kuweka nukta ni nani Tanzania hii??
Au wewe ndio Waziri mkuu Majaliwa?
Wazee wengine hata mchana unaweza kukuta haujala lakini maneno mengiii ya kukashifu watu.
hahaaaa daaaahhElimu kiasi gani[emoji274]
Ok Nina elimu kilograms 3
Wazazi wanakusomesheni,"Enyi vijana sikilizeni mnapokuwa masomoni, acheni mchezo wa mapenzi mnawana uchungu ooooh wazazi wenu"
daahh mkuu wew mbona kama tunafanana kwa hizi agenda zakoJIBU: Don't answer her..... Futa txt, futa namba... Endelea na kitabu.
We ni mwanaume huwezi kua single hilo liko wazi, tuliza akili tafuta msichana mwenye vigezo vyako.. Mbona wapo Wengi tu vyuoni hapo.
Hawa choka mbaya ndio huwa wasumbufu... Kwao Maisha magumu kame kuja chuo.. Kana dhani kuomba hela kwa mwanafunzi mwenzake ndio mapenzi au ndio ujanja...
Mademu wengi wapenda hela chuo ni choka mbaya trust me... Tumesoma huko tuna jua.
IPO SIKU ATAKUJA MWENYE WE.. na utampiga show hawanaga lolote hawa....
USHAURI: Be a gentleman, hapa ndio una mvuruga zaidi. Usianze kumtangaza tena chuo kwa shikaji " Ooh aliniomba hela, mara sijui alifanya nini " Cool down piga kitabu.. Atakuja tu. Ukikutana nae msalimie endelea na safari. Epuka maongezi marefu haya maana tena... Akituma sms usi jibu kwa muda huo huo... Chukua hata masaa 6 na zaidi ndio ujibu, au jibu kesho kama haina ulazima.. Hizi ni techniques tu zaku wanyoosha hawa.
Inaonekana we mgeni nchi hii haiwezekani mtu kuwa na miaka 25 unashagaa kwann hajamalza degree, umesahau kuna above 30 bado wapo mtaani wana reseat QT.[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Tz watu wanachelewa kuanza shule..miaka 25 hujamaliza digirii. Au ulitokea kazini
Elimu ya Tanzania inaelekea kaburini, kijana wa mwaka wa tatu degree huwezi hata kuandika ukaweka nukta?
Mpaka kufikia Hapo ulikuwa unaandikaje report za field, research na assignment zako?
Hatari sana hii!
We pimbi tu!Maandishi yako Mwenyewe ni Kiazi Kabisa
Jitafakari[emoji35]
Hahaa 1.2m utajua utakapoitolea.Kila nikinusa haruf inanijia ni mrembo wa st john Dodoma, sina hamu nao, nimebakiwa na vuz tu
35000 ni hela kubwa kumbe
We na elimu yako ya QT huwezi kutotautisha formal na informal writings????Elimu ya Tanzania inaelekea kaburini, kijana wa mwaka wa tatu degree huwezi hata kuandika ukaweka nukta?
Mpaka kufikia Hapo ulikuwa unaandikaje report za field, research na assignment zako?
Hatari sana hii!
Demu kaongea hivyo kujiliwaza ila kiujumla kajiona fala.Take your time. a little boy. Soma kwanza
Demu mtaka viatu anasoma nursing,sasa hiyo course IFM na CBE toka lini mkuu?wauza viatu wa Dar wanapenda sana kuwauzia mabint wa aiefuemu na sibii! Kama ndio huko, inakula kwako Mzee Baba!