bepari la kichaga
JF-Expert Member
- Dec 21, 2014
- 528
- 516
Hahah big fish huyo
Yeah take your time little boy,"TAKE YOUR TIME LITTLE BOY"
Viatu vya 2000 nibkama viatu ganibkwa mfano na vinapatikana wapi?After all kwanza viatu gani vya kike 35,000'?? Kwa watoto wa chuo wanavaaga vya elfu 2000-5000
🙂😉🙁😡😕😎😛😀😱😳🙄😵 Mzaleee Huyo dada kabila gani maana yake dah nimecheka sana."Take your time little boy "
wauza viatu wa Dar wanapenda sana kuwauzia mabint wa aiefuemu na sibii! Kama ndio huko, inakula kwako Mzee Baba!
Exactly bro, Sure 100%No inategemea. Mm mwenyew na uwezo nilionao , ukanipiga tukio kama hilo. Nakukataa mchana kweupe, naweza hata kukukana kuwa sikujui.
Huyo dada amekosa staha, style gani hiyo aisee? amemdharau mchiz