Mume wa Tulia Ackson anaitwa James Andilile Mwainyekule nafikiri bado anafanya kazi wizara ya nishati kama kamishna. Pia aliwahi kuwa ag. DG TPDC tuliwahi kufanya kazi wote mahala.
Asha-Rose Mtengeti mume wake anaitwa Cleophas Migiro alikuwa mwalimu pale mlimani kwa mingi sana. Sina hakika kama bado yupo pale.