Hawa wako wapi sasa?

Du kweli Bongo tumetoka mbali CBS News pale USIS mi nikikuwa member mzuri sana, hivi kuna anaejua habari za Hilary Ndibalema?. Alikuwa mchezaji wa vijana Bulls enzi hizo!.
 
Huyu Frank alikuwa na sister wake mmoja hivi kiboko sana, Carolyne nadhani alikuwa anasoma Kisutu huyu~hivi yupo wapi wajameni?.
 
kuna mtu kamtaja Marehemu Puza wa Tambaza...doh chozi limenidondoka na kamasi limening'inia kwa kweli...


He was My fellow Gang
 
Kwa wale waliosoma Shebby Robby early 90s mtakuwa mnamkumbuka mwalimu mmoja English alikuwa anaitwa Ms. Godinho....dah....nilikuwa natakaga sana kumnanihino
 
Dah hii thread imenikumbusha mbali sana

Bado uko Bongo? Kuna tukio hili la kukumbushana mbali - nasikia kutakua na hadi shindano la breki dansi:

WATOTO WA CHUO (UDSM) BOTRO BBQ Welcome to Facebook

Sunday, December 5 · 2:00pm - 8:00pm
LocationUDSM-VIWANJA INFRONT OF UDASA CLUBCreated ByBainas Wamunza, Huila C. Mlama, Tahir Haroub Othman, Kemmy Mutahaba, Martin Jay PShow all (5)
More InfoFor those who lived in and around Chuo (Mlimani) in the 80s and 90S karibu kukutana na marafiki wa zamani. Nyama choma, drinks, football, music, kids corner etc
 

forum imeingiliwa itapoteza sifa yake muda si mrefu forum hii sio ya kitaa, wengine wameigeuza ya chadema

 

Asante sana kwa kukumbusha eni hizi. '

'Naona unanifata kwa kujumpin' na huku wenzio wakiwa wanakumpin' sikutaki,
sikupendi, huna sura nzuri wala huna beki, na masikio kama tembo.

Niko kwenye gari na rafiki yangu sele, nakisikia kelele naitwa njoo, mwanamke mweusi na macho kama pusi, please come..no... naogopa ukimwi, hauna kinga ukikupata wala huponi...'

jump jump ya KrissKross, nyimbo kama mpenzi rudi (Sacrifice ya Elton John),
 
Ebwana unakumbuka enzi za PUZA WA TAMBAZA?

what about mamabo ya DON BOSCO tournament?

Hapo kwenye red, dahhh Don Bosco Zanaki na Tambaza


enzi za aaah msela mimi nampenda msela ingawa hana hela msela aaaaah msela
mmmmmh mselaaa.
 
Hayo makundi yaliibuka mika ya 90,miaka ya 80 tulikuwa hatujui hizo nyimbo zenu za ubongo wa fleva,tulikuwa tuna ruka debe mbowe,ushirika 1900,TKU DISCO rungwe,
 
Madj enzi hizo paul mc gee,Dan star,john bure,sweet cofee banana,Aman junior challenger,Double KK,PET BRAYSON,EDD Sally
 
Ebwana unakumbuka enzi za PUZA WA TAMBAZA?

what about mamabo ya DON BOSCO tournament?

Hapo kwenye red, dahhh Don Bosco Zanaki na Tambaza


enzi za aaah msela mimi nampenda msela ingawa hana hela msela aaaaah msela
mmmmmh mselaaa.


umenikumbusha watemi wa kinondoni muslim sec. school a.k.a kimbwelu enzi hizo miaka ya 1992...morning kuna mtu wa kuitwa nuru chaduma singh toka kinondoni manyanya,afternoon kuna mtu anaitwa mrosso toka magomeni!sijui wapo hawa!
 
kwa kua hii thread inaendana na kile nilichopanga kukifanya humu/kuandika. Nimeona niirudishe humu jamvini, kwa wale ambao wapo interested wanawezj kuchangia!
 
Hayo makundi yaliibuka mika ya 90,miaka ya 80 tulikuwa hatujui hizo nyimbo zenu za ubongo wa fleva,tulikuwa tuna ruka debe mbowe,ushirika 1900,TKU DISCO rungwe,

leo anakuja mtu anajiita kinega eti yeye muanzilishi wa hiphop.... what a joke !
 
Ukienda KAriakoo basi unamkuta JK, Ditto na RO pale Saigon au kwenye ile baa ya mtaa wa Nkurumah kwa mzee Makange.

hahaaaah wakati huu mimi nilikua Mwalimu wa pale Alharamain Muslim Seminary , Jamaa walinipa kibarua kwakua nilikua Muislamu na nilikua na Div 1 ya Azania, nakumbuka hicho kijiwe, umenichekesha sana, hakika miaka inakwenda kasi, ila hii post imenichekesa, kunikumbusha na kunifunza mengi.
 

Huila anapenda sana kudance
 
hii thread japo ni ya 2007,naisoma utafikiri imeanzishwa leo 2014.nimekumbuka vitu vingi sana.kweli jf ni maktaba.
 

Game Theory naonekana wewe ni mtoto wa mjini kweli kweli na ni old skul big time.msofe unaye mzungumzia ni huyu pedeshee anaye nyea debe ukonga kwa kesi ya kichwa?!.i was told jamaa ni mmoja ya watoto wa mjini waolitikisa sana enzi hizo kijiwe cha salamanda pale samora avenue.kuna ukweli?.haya na huyo ndama ni huyu aliye mwaka misimbazi ktk live show ya fally ipupa couple of years back?.naomba ufunguke mkuu hii thread bado mbichi sana japo ni ya 2007.halafu inaonekana enzi zenu kwenda mtoni ilikuwa sio jambo gumu sana kama sasa.lmao.
 
Last edited by a moderator:
Mwenye old xul bongo hiphop/rap hits za 90's waziweke,Afro Reign Saa za kazi ft Hasheem Dogo track safi sana.
 
ehhh! bado ipo hewani hii? wachangiaji wa hii thread wapo kweli ?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…