Ktk ulowataja, Dela soul yupo NYC ana mke mtasha, Sindila yupo Cincinati, OH....Jump Around yupo Columbus, Rhymson mara ya mwisho kumwona ilikuwa Bongo safarini Canada, Y-thang nilimwacha Muhimbili akiwa mwaka wa nne, nadhani ni doctor somewhere...............................baadhi ya wengine nasikia mateja, waliovuta haya, lakini life goes on!!.
Ee bwana ee, Pundit si utani Henry yuko wapi siku hizi? Nakumbuka Mindu pale kwa kina Tasi na Bosi, jinsi Reggae na u-rasta tulivyokuwa tunau-mind na ndipo Justin Kalikawe(RIP) alipopata inspiration ya kuanza kuimba na kuwa dread... Mambo ya "Manhattan gym"... Chande naye yuko wapi? Marizanga aka Mario Kempes naye, Danny Mbotto, David Mswia aka Yellowman, Richard aka Ricardo, Maga Mix, Tony Ojjiki, Frankie Munuo, Gregory Msafiri, Chuche, Eliudi, duh! Sijui kama wengine tutakuja kuonana tena... Upande wa Seaview akina Tume, Job, the Luangisas from Peter, Samuel, Rose to Mao, Crispin(RIP), the Makotas, the Gundas, yaani the list goes on and on...
Halafu unakumbuka miaka ile IDDI JANGUA alivyokuwa akitesa kule coco beach full CHICAGO BULLS kuanzia CAP mpaka soksi na raba?
Umezungumzia kuhusu UPANGA hivi kile kijiwe cha AHRLEM bado kipo pale au jamaa walikihamisha?
Hivi unahabari kama ARISTOTO naye yuko bongo na makid wake
Ebwana unakumbuka enzi za PUZA WA TAMBAZA?
what about mamabo ya DON BOSCO tournament?
how about mambo ya FOOD EVENING kule SHALIMAR town na watoto wa FORODHANI?
unamkumbuka SINGITIRA? ROZI MLEKWA je?
I wish QUICK MOVER ainie humu maana naye ni mmoja kati ya wachache wa JF ambao ni watoto wa DAR
Halafu unakumbuka miaka ile IDDI JANGUA alivyokuwa akitesa kule coco beach full CHICAGO BULLS kuanzia CAP mpaka soksi na raba?
Umezungumzia kuhusu UPANGA hivi kile kijiwe cha AHRLEM bado kipo pale au jamaa walikihamisha?
Hivi unahabari kama ARISTOTO naye yuko bongo na makid wake
Ebwana unakumbuka enzi za PUZA WA TAMBAZA?
what about mamabo ya DON BOSCO tournament?
how about mambo ya FOOD EVENING kule SHALIMAR town na watoto wa FORODHANI?
unamkumbuka SINGITIRA? ROZI MLEKWA je?
I wish QUICK MOVER ainie humu maana naye ni mmoja kati ya wachache wa JF ambao ni watoto wa DAR
Topic hii ilianza vizuri lakini wameharibu walioanza kuingiza mambo ya shule, hapa tunaongelea Ma Mcs wa OldSkul wa Bongo,
Je nani anajua kwamba kulikuwa na Beef kati ya Salehe Jabir a.k.a Cool S na Adili Kumbuka The late Nigger One ( R.I.P) walishakutana fainali mara mbili Lang'ata kwenye mashindano ya Yo Rap Bonanza mara moja akshinda Nigger One mara ya pili Cool S hope so na nilikuwa nina tape ya mashindano hayo but so sorry kuna mtu alinizima ...
....'i
Duh babu itakuwa tumepiga wote soka la fujo abajalo!Oyaaa Brazameni mi mtoto wa mjini wewe....ukitaka mambo uswazi mi anga zangu zilikuwa Sinza abajalo, Magomeni kwa macheni, mwenge stendi ya basi, Savei kontena, mlalakuwa ndani ndani kwenye klabu za wanzuki
... chogolazi sasa hivi ameslim ni mkristo anahubiri dini,anacheza na bible kama hana akili nzuri hivi sasa ni mkazi wa london
mambo ya comedy 'kalas' sasa ni bible kwa kwenda mbele.anna lukindo yupo na anaishi londonAre you sure, That is interesting. Bin Maarage, alikuwa comedian mzuri tuu, jokes nyingi pale kijiweni Harlem. Na alikuwa dancer mzuri tuu wakati ule - partner wake binti wa Lukindo.
mambo ya comedy 'kalas' sasa ni bible kwa kwenda mbele.anna lukindo yupo na anaishi london
jamani nauliza hivi jamaa alikuwa anaitwa NICO SCABA SCUBA yuko wapi?
yeah sasha its Tasssi lakini sijui kama ameshavuta si yule aliekuwa anasoma ISt point 0.5 fulani hv Oiii oiii nyani gabu yaani mzuka si kitoto umenigusa mlalakuwa kwenye klabu za wanzuki ndio lilikuwa boda langu nikitoka skonga mapambano primary wakati naitafuta kwa remy home. Abajalo umecheza lini Brutus