Yes, website na internet ni muhimu, na fast response, siku zote tambua kuwa request hujatumiwa peke yako, wametumiwa na wengine, your fast response is key.Nimekupatapata kwa uzuri ndugu.
Mimi pia nina marafiki na jamaa zangu huko nje ambao huwa wananipa hizi nondo kama hizi zako.
Hivyo cha muhimu ni website na internet connection ya uhakika saa 24 kwa 7.