Hawa wageni wanaokuja Serengeti kuna Hela inabaki au ni Hewa tu na vigelegele?

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,782
Sasa hivi kuna wimbi la wageni maarufu wanaokuja kutembelea Serengeti yetu na kwingineko, sasa swali langu ni je kuna hela yoyote ya maana inabakia hapa nchini kwetu au ndiyo hivyo kila kitu kimeshalipiwa Ulaya kwa wamiliki wa mahoteli wanakuja kulala na kuburudika halafu kusepa?

Nauliza hivi isije kuwa tunapiga vigele gele kama tulivyozoea na kutaja majina makubwa yamekuja kwetu lkn kiuhalisia hawakutumia hata Shilingi hapa Bongo!

Hivyo ningependa Serikali kama ikiwezekana iseme ni kiasi gani huwa hawa watu wanaacha hapa TZ ili tujue kama inalipa au la, kwa maana wakati mwingine utakuta wanakuja na ndege za kukodi tax free, wanalala kwenye Hoteli zinazomilikiwa na Wazungu ambapo imeshalipiwa huko huko Ulaya, na kiasi kidogo sana ndiyo kinabakia hapa nyumbani, ...


Mchezaji wa A.Madridi akiwa Serengeti, kama huyu kaacha kiasi gani Bongo?
DiEn5IcW4AA-el6.jpg
 
Pesa wanapata wakenya kupitia mgongo wenu nyie kazi yenu kubwa kupiga vigelegele na kulamba miguu kama mnavyofanya hapo lumumba.
Endeleeni kujipendekeza tuu


Hata Kenya sidhani kama kuna tofauti pia siajabu same story kama hapa TZ au hata mbaya zaidi.
 
Sasa hivi kuna wimbi la wageni maarufu wanaokuja kutembelea Serengeti yetu na kwingineko, sasa swali langu ni je kuna hela yoyote ya maana inabakia hapa nchini kwetu au ndiyo hivyo kila kitu kimeshalipiwa Ulaya kwa wamiliki wa mahoteli wanakuja kulala na kuburudika halafu kusepa?

Nauliza hivi isije kuwa tunapiga vigele gele kama tulivyozoea na kutaja majina makubwa yamekuja kwetu lkn kiuhalisia hawakutumia hata Shilingi hapa Bongo!

Hivyo ningependa Serikali kama ikiwezekana iseme ni kiasi gani huwa hawa watu wanaacha hapa TZ ili tujue kama inalipa au la, kwa maana wakati mwingine utakuta wanakuja na ndege za kukodi tax free, wanalala kwenye Hoteli zinazomilikiwa na Wazungu ambapo imeshalipiwa huko huko Ulaya, na kiasi kidogo sana ndiyo kinabakia hapa nyumbani, ...


Mchezaji wa A.Madridi akiwa Serengeti, kama huyu kaacha kiasi Bongo?
DiEn5IcW4AA-el6.jpg
kwa taarifa yako ni kuwa wengi wa hao wageni wala hawatembelei hifadhi ya serengeti. wanaenda kwenye hotel iitwayo singita ambayo iko kwenye kijiji cha nattambiso kinachopakana na pori la akiba la ikorongo. hata utalii wanafanyia kwenye eneo la pori la akiba la ikorongo/grumet ambalo mwekezaji mwenye hiyo hoteli ana vitalu vya uwindaji. Tatizo waandishi wetu huwa hawajishughulishi kujua ukweli wa mambo
 
kwa taarifa yako ni kuwa wengi wa hao wageni wala hawatembelei hifadhi ya serengeti. wanaenda kwenye hotel iitwayo singita ambayo iko kwenye kijiji cha nattambiso kinachopakana na pori la akiba la ikorongo. hata utalii wanafanyia kwenye eneo la pori la akiba la ikorongo/grumet ambalo mwekezaji mwenye hiyo hoteli ana vitalu vya uwindaji. Tatizo waandishi wetu huwa hawajishughulishi kujua ukweli wa mambo


Asante kwa usahihisho. Je, vipi kuhusu nilichouliza unafikiri hiyo fedha inabakia hapa Tanzania yaani fedha wanayolipia hoteli, kuangalia wanyama, vinywaji n.k. au kila kitu wanalipia kwao huko Ulaya halafu sisi tunapiga vigelegele kutoana ngeo na Wakenya na kushangilia tu kwamba Obama kaja kwetu kutalii?
 
Asante kwa usahihisho. Je, vipi kuhusu nilichouliza unafikiri hiyo fedha inabakia hapa Tanzania yaani fedha wanayolipia hoteli, kuangalia wanyama, vinywaji n.k. au kila kitu wanalipia kwao huko Ulaya halafu sisi tunapiga vigelegele kutoana ngeo na Wakenya na kushangilia tu kwamba Obama kaja kwetu kutalii?
kwa taarifa yako, asilimia zaidi ya 85 ya pesa ya utalii inabaki huko majuu kwani wengi wa wamiliki wa kampuni za utalii ni watasha, hiyo chache iliyobaki ndio hio tunagawana kwa kulipwa mishahara, mafuta ya magari, chakula cha wageni na kodi kidogo ya serikali
 
kwa taarifa yako, asilimia zaidi ya 85 ya pesa ya utalii inabaki huko majuu kwani wengi wa wamiliki wa kampuni za utalii ni watasha, hiyo chache iliyobaki ndio hio tunagawana kwa kulipwa mishahara, mafuta ya magari, chakula cha wageni na kodi kidogo ya serikali


Asante sana ndugu kwa hilo, kwa maana nimekuwa nikijiuliza sana hili swali, tunashangilia hapa kwamba sijui Bill Gates, Obama katua TZ kutalii lkn binafsi nilikuwa na wasiwasi sana kama kweli wanaacha hela ndefu hapa kwetu.

Mtu kama huyu Bill Gates badala ya kutuletea vyandarua vya mbu ilipaswa tumkamue hapo anapokuja kutalii siyo kila kitu analipia kwao halafu sisi tunabakia kumchezea ngoma na kutambiana na Wakenya.

Bado tuna safari ndefu sana.
 
Sijawahi kuelewa kwa nini watu wapo negative kiasi hiki.. basi tu yani mtu yupo so negative kila kitu kwake kibaya.. cha wenzie kibaya hata cha kwake kibaya.

Hizo hoteli wanazolala zinalipa fees za kuwemo ndani ya hifadhi, zinalipa kodi maana zimesajiliwa Tanzania (huwezi kuwa na hoteli Tanzania ukaisajilia Rwanda), watalii wote wanalipa gate fees, wanalipa conservation fees.

Kampuni za tours zimeajiri waTanzania, wanalipwa mishahara na zenyewe zinalipa kodi na stahiki nyinginezo n.k

Hata kama hamna hela inayobaki TZ utabadilisha nini..
 
Asante sana ndugu kwa hilo, kwa maana nimekuwa nikijiuliza sana hili swali, tunashangilia hapa kwamba sijui Bill Gates, Obama katua TZ kutalii lkn binafsi nilikuwa na wasiwasi sana kama kweli wanaacha hela ndefu hapa kwetu.

Mtu kama huyu Bill Gates badala ya kutuletea vyandarua vya mbu ilipaswa tumkamue hapo anapokuja kutalii siyo kila kitu analipia kwao halafu sisi tunabakia kumchezea ngoma na kutambiana na Wakenya.

Bado tuna safari ndefu sana.
huo ndio ukweli japo mchungu
 
Kwani hotelini wanakaa bure?


Ni hivi hizo Hoteli zinamilikiwa na Wazungu hao hao ambao wanalipwa juu kwa juu huko huko kabla hawajatua Bongo kulingana na mchangiaji mmoja alivyosema, hivyo hela inayobakia Bongo ni ndogo sana, kwani siyo kama wewe ukienda kulala gesti unalipia dirishani gesti na kupewa huduma, hawa akina Bill Gates, Obama &Co. wanalipia huko Ulaya kwenye akaunti za wenye hoteli.
 
Sijawahi kuelewa kwa nini watu wapo negative kiasi hiki.. basi tu yani mtu yupo so negative kila kitu kwake kibaya.. cha wenzie kibaya hata cha kwake kibaya.

Hizo hoteli wanazolala zinalipa fees za kuwemo ndani ya hifadhi, zinalipa kodi maana zimesajiliwa Tanzania (huwezi kuwa na hoteli Tanzania ukaisajilia Rwanda), watalii wote wanalipa gate fees, wanalipa conservation fees.

Kampuni za tours zimeajiri waTanzania, wanalipwa mishahara na zenyewe zinalipa kodi na stahiki nyinginezo n.k

Hata kama hamna hela inayobaki TZ utabadilisha nini..


Hakuna ambaye yuko negative, bali ninapenda kufahamu kinachoendelea na kujifunza, tangia lini kutaka kujifunza imekuwa negative?
 
Umekusudia kuacha hela kivipi? Nipo kwenye utalii naweza kukufahamisha ikiwa utanielewesha umemaanisha nini kabla sijajibu kwa mujibu wa nlivolifahamu suali lako.

Mimi nimefahamu kuwa umekusudia kuacha pesa inayokwenda serikalini au sivyo?
 
Another plus.. Tanzania inapata watalii wengi zaidi maana hata ndege wanazokuja nazo zinalipa landing fees, kuna visa fees..

High profile people wanapokuja kwenye nchi yako ni jambo la kufurahia maana wanaitangaza nchi yako bila gharama.. zaidi sana wanatengeneza confidence kwa matajiri wenzao kwamba Tanzania ni nchi yenye hadhi yao..

Na watu wa kawaida huko nje wanapoona wageni maarufu wanatembelea Tanzania na wao wanakuwa convinced..

In short kuna faida nyingi sana zinazobaki hapa nchini ila nafikiri ni watu wengi hawafikirishi akili zao kuona hayo..

Nafikiri mtoa mada umejifunza..

Utalii una fursa nyingi sana..
 
Umekusudia kuacha hela kivipi? Nipo kwenye utalii naweza kukufahamisha ikiwa utanielewesha umemaanisha nini kabla sijajibu kwa mujibu wa nlivolifahamu suali lako.

Mimi nimefahamu kuwa umekusudia kuacha pesa inayokwenda serikalini au sivyo?


Nilipenda kujua jinsi ambavyo tunanufaika na hawa wageni wakubwa na matajiri wanaotembelea TZ yetu kwenye utalii hasa kwenye eneo la fedha, yaani ni jinsi gani tunaingiza fedha ktk kwao?
 
Sijawahi kuelewa kwa nini watu wapo negative kiasi hiki.. basi tu yani mtu yupo so negative kila kitu kwake kibaya.. cha wenzie kibaya hata cha kwake kibaya.

Hizo hoteli wanazolala zinalipa fees za kuwemo ndani ya hifadhi, zinalipa kodi maana zimesajiliwa Tanzania (huwezi kuwa na hoteli Tanzania ukaisajilia Rwanda), watalii wote wanalipa gate fees, wanalipa conservation fees.

Kampuni za tours zimeajiri waTanzania, wanalipwa mishahara na zenyewe zinalipa kodi na stahiki nyinginezo n.k

Hata kama hamna hela inayobaki TZ utabadilisha nini..
Mkuu mimi uzi zingine nashindwa hata kukomenti watu wengine ni economically ignorant....hawezi kuelewa economic cycle hata ufanye je..... darasa la saba hamnaga somo la uchumi, kuna kuhesabu kujumlisha na kuzidisha tu.
 
Nilipenda kujua jinsi ambavyo tunanufaika na hawa wageni wakubwa na matajiri wanaotembelea TZ yetu kwenye utalii hasa kwenye eneo la fedha, yaani ni jinsi gani tunaingiza fedha ktk kwao?
Ngoja nikupe mfano mrahisi..

Kama gate fee ya kuingia Serengeti kwa mtalii mmoja ni $5 wakija watalii laki moja ina maana tuna Dola laki tano.

Sasa Tanzania inaingiza zaidi ya watalii Milioni moja.

Mtalii kuanzia anapotua Airport mpaka siku anaondoka anatumia hela hapa nchini, na nchi inapata hela kwa njia ya kodi au tozo au makato.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom