Hawa wadudu wanao wakawaka usiku

Hawa wadudu wanao wakawaka usiku

Hawa wadudu ni kama samaki wanaotoa mwanga unaoitwa bioluminescence
Kwa hawa wadudu ni pale ambapo oxygen inachanganyika na calcium kwa hiyo wanatengeneza chemical inayosababisha wakawaka
 
Zamani nilikuwa nasema mbu wanakuja na tochi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
bangi nzuri ila ikizidi concentration madhara yake ndio haya
 
bangi nzuri ila ikizidi concentration madhara yake ndio haya
Nimeacha sahv sivuti mkuu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
BANGE MIXER NYAGI[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zamani nilikuwa nasema mbu wanakuja na tochi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Kabisa..
Au ukimshika unapotea, ila ukubwani nilikuja kugundua hayo maneno tuliambiwa ili tusidhurike usiku kama kumkimbiza huyo mdudu vichakani unaweza kung'atwa na nyoka au kukanyaga chupa, mwiba au kudondokea kwenye shimo. Semi za wazazi zilituokoa kwa mautundu yetu bila hizo semi tungelala na mdudu sahani moja
Wazazi walitusaidia sana.
Mfano tuliwahi ambiwa ukikata kucha za miguuni usiku unaota ndoto za kutisha, hii yote ilikua ni kutuepusha na madhala kama kujikata n.k .
 
[emoji848][emoji848][emoji848]
Kabisa.. Wazazi walitusaidia sana.
Mfano tuliwahi ambiwa ukikata kucha za miguuni usiku unaota ndoto za kutisha, hii yote ilikua ni kutuepusha na madhala kama kujikata n.k .
 
Mkuu kama ulikuwa haujui,Ngoja nikujuze kuwa ilo ndio chimbuko la SORA POWER[emoji90][emoji90][emoji90]
Wakuu naombeni mnijuze kiundani kuhusiana na hawa wadudu, kuna sehemu wanaitwa vimulimuli[emoji856][emoji856]

Huwa wanakuwa wengi msimu wa mvua hasa majira ya usiku, huwa utawaona wengi wanawaka waka fulani hivi......

Mimi huwa siwaelewi kabisa, inakuwaje wanatoa mwanga mithiri ya indicators za gari?

Je huo mwanga unazalishwaje katika mwili wao? Au wanauakisi mchana? [emoji848][emoji848]

Siwaelewagi kabisa! Mnijuze aiseee[emoji41][emoji41]

Hawa ni aina gani ya wadudu, na wanaitwaje kitaalam(kisayansi/kiingereza)?
 
Back
Top Bottom