Rooney
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 3,781
- 3,942
Jaribu ku google "electric eel"Kuna hadi fish tanganyika ziwani...
Anapiga shot ya umeme ni msala... Wajuzi na hii mdadavue kidogo
Jaribu ku google "electric eel"Kuna hadi fish tanganyika ziwani...
Anapiga shot ya umeme ni msala... Wajuzi na hii mdadavue kidogo
Daah ntaongea physics ngumu sana hapa na biology ngoja ninyamaze
Nikiwahi kuona makala Youtube ikiwaelezea.Kuna mfumo wanatumia ambapo kemikali maalumu hupambana na kutoa mwanga. Kitu kama oksijeni na calicium(sina hakika sana).
Lakini mwanga inadaiwa mwanga unaozalishwa hauzalishi joto kama bulb yako sebuleni maana itakuwa hatari kwa kiumbe huyu.
Mwanga huwasaidia yafuatayo:
1. Kutambuana kati ya jinsi moja na nyingine. Maana yake me na ke hutoa mwanga wenye nguvu tofauti.
2.Ni namna ya kuvutiana kufanya "ngono." Inasemekana madume ndiyo hushindana kutoa miali mikali. Jike atavutiwa na dume mwenye tochi ya ukweli.
3.Jamii moja na nyingine hutofautiana kwa mwanga. Hivyo,husaidia kutambuana
Wadudu hawa ni "nocturnal" , yani huwa active usiku kama vile mende na panya.
Wenye fani zao watadadavua zaidi
Ninawasilisha
Sisi wahenga tunawaita wachawi
Tunaoishi vijijini tunawafurahia sana hapo viumbe ikiwa unakatiza zako usiku baada ya mvua kunyesha unapishana nao afu kwa mbele unapishana na konokono na kwa mbele zaidi unapishana na jongoo na mwenzake mnyoo..
Napita
Shule ya msingi tulifundishwa kati ya vitu vinavyotoa mwanga wa asili ni hao wadudu. Ile hatukuelezwa wanawaka waka aje.
Mkuu mi mwenyewe nimekua nikijiuliza hili swali kwa miaka sasa bila majibu. Umenifurahisha sana mkuu nikahisi ni Mimi tu ninaesumbuka na hili jambo, kumbe tupo wengi.Wakuu naombeni mnijuze kiundani kuhusiana na hawa wadudu, kuna sehemu wanaitwa vimulimuli[emoji856][emoji856]
Huwa wanakuwa wengi msimu wa mvua hasa majira ya usiku, huwa utawaona wengi wanawaka waka fulani hivi......
Mimi huwa siwaelewi kabisa, inakuwaje wanatoa mwanga mithiri ya indicators za gari?
Je huo mwanga unazalishwaje katika mwili wao? Au wanauakisi mchana? [emoji848][emoji848]
Siwaelewagi kabisa! Mnijuze aiseee[emoji41][emoji41]
Hawa ni aina gani ya wadudu, na wanaitwaje kitaalam(kisayansi/kiingereza)?
Hata miton wapo..kienyej enyej tunawaita INYIKAKuna hadi fish tanganyika ziwani...
Anapiga shot ya umeme ni msala... Wajuzi na hii mdadavue kidogo
mkuu asikudanganye mtu!hao ni majini wanajigeuza umbo la wadudu
ukiwaona kimbia
Wanaitwa FIRE FLIES
Hapo ndipo mtakapo tambua Uwezo na Nguvu ya Mungu katika uumbaji....
Na kwa ziada ule mwanga wanaoutoa unawakinga au unawapoteza maboya ndege wasiwale, na hata kuwakamata nayo ni ngumu