Hawa wadada wanaojitambua wapo wapi?

Hawa wadada wanaojitambua wapo wapi?

Mkuu wapo sana ila hawana tako wana matumbo makubwa na hawaend n fashion.kila la heri mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe hii ndio maana ya waifu matirio
 
Nimekuwa katika mitandao ya kijamii kwa muda mrefu saana, nimetembelea sehemu tofauti za starehe na burudani kwa muda mrefu saana, kwa kuwa mimi ni mkristo nimeenda kanisani saana ki uweli nimejaribu kufanya uchunguzi kwa wasichana na wasasa 70% ni pasua kichwa, hawajitambui na hawana future za maisha!
Leo nimejaribu kuja hapa kuuliza na kupata ushauri kwa hawa wife material + future women wapo wapi? na wanapatikana vipi?

Je hapa JF wapo? na kama wapo tunawajuaje??
na kwa sisi wenye uhitaji wa Warembo wa aina hii tunaweza meet nao wapi na vip??

Wife material wapo sana tu Sema nyinyi wanaume mna vigezo vingi sana. Sasa hivi mtu asipokuwa na tako kwisha habari yake. Kupata wife material sali sana upate kumjua kwa macho ya rohoni.
 
Unakua unakosa vigezo vya kua kwenye hiyo list?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuwa na tumbo kubwa na kutokuwa na chura vinahusiana vipi na kujitambua
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuwa na tumbo kubwa na kutokuwa na chura vinahusiana vipi na kujitambua
Inasemekana kua wengi wao wenye hivyo vitu ndo hao wanaojielewa zaidi ukilinganisha na maslay queen
 
Wengi wanaojitambua ni vibonge..
na wengi hawataki vibonge, hapo ndo wanapopishana.

changamoto kubwa ya vibonge ni kwamba wapo sensitive sana na miili yao, unaweza ukamchekesha akacheka akirudi kujiangalia kwenye kioo anapoteza cheko..

ila wanafaa kujenga nao familia.
FTF-4_1.jpeg
FTF-3_3.jpeg
 
Wengi wanaojitambua ni vibonge..
na wengi hawataki vibonge, hapo ndo wanapopishana.

changamoto kubwa ya vibonge ni kwamba wapo sensitive sana na miili yao, unaweza ukamchekesha akacheka akirudi kujiangalia kwenye kioo anapoteza cheko..

ila wanafaa kujenga nao familia.View attachment 1222175View attachment 1222176
Mkuu,una maana gani hapo "" ukamchekesha akacheka akirudi kujiangalia kwenye kioo anapoteza cheko..""
 
Mkuu,una maana gani hapo "" ukamchekesha akacheka akirudi kujiangalia kwenye kioo anapoteza cheko..""
mwanaume unaweza ukawa mcheshi balaa mkikaa mnapiga story fresh anaenjoy ila sasa mkiagana yeye akirudi kwake akivua nguo akijiangalia kwenye kioo anaanza kushangaa nyama zake, anasononeka.

wanajua kuji-depress sana.. hata umkubali vipi jinsi alivyo bado huwezi kumbadili anavyojichukulia.
 
Wapo wengi tu, wapo humu humu...

Vile utakavyojiweka au kujichetua ndivyo utakavyopata wa kufanana nae...



Cc: mahondaw
 
Kuna option kadhaa
1.unaweza ukamuumba huyo mtu; chukua udongo mfinyange unavyotaka na future unayotaka

2.unaweza ukamzaa,ukamkuza kwa future unayotaka na baadae,ukamtumia utakavyo
 
Back
Top Bottom