Hawa wadada wanaojitambua wapo wapi?

Hawa wadada wanaojitambua wapo wapi?

ERIK

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2013
Posts
623
Reaction score
315
Nimekuwa katika mitandao ya kijamii kwa muda mrefu saana, nimetembelea sehemu tofauti za starehe na burudani kwa muda mrefu saana, kwa kuwa mimi ni mkristo nimeenda kanisani saana ki uweli nimejaribu kufanya uchunguzi kwa wasichana na wasasa 70% ni pasua kichwa, hawajitambui na hawana future za maisha!

Leo nimejaribu kuja hapa kuuliza na kupata ushauri kwa hawa wife material + future women wapo wapi? na wanapatikana vipi?

Je, hapa JF wapo? na kama wapo tunawajuaje?

na kwa sisi wenye uhitaji wa Warembo wa aina hii tunaweza meet nao wapi na vip??
 
Write your reply...cha msingi tako au kalio hayo mambo ya kujielewa utamuelewesha taratibu na mijeledi, mkanda, vibao, ngumi lazima awe understanding

cha msingi chura
 
Write your reply...cha msingi tako au kalio hayo mambo ya kujielewa utamuelewesha taratibu na mijeledi, mkanda, vibao, ngumi lazima awe understanding

cha msingi chura

hahaaaaaaaa
 
Omba Mungu atakukutanisha tu na aliye wa kufanana na wewe sasa jiulize are you a husband material?
 
Kwani kujitambua ni nini ?
Nimekuwa katika mitandao ya kijamii kwa muda mrefu saana, nimetembelea sehemu tofauti za starehe na burudani kwa muda mrefu saana, kwa kuwa mimi ni mkristo nimeenda kanisani saana ki uweli nimejaribu kufanya uchunguzi kwa wasichana na wasasa 70% ni pasua kichwa, hawajitambui na hawana future za maisha!
Leo nimejaribu kuja hapa kuuliza na kupata ushauri kwa hawa wife material + future women wapo wapi? na wanapatikana vipi?

Je hapa JF wapo? na kama wapo tunawajuaje??
na kwa sisi wenye uhitaji wa Warembo wa aina hii tunaweza meet nao wapi na vip??
 
Walio kuwa wana patikana mjini walikufa wakaja wapya wao ni wife material lakini lazima uwe na pesa tafuta pesa ule mema ya dunia kama hauna nenda vijijina utawapata lakini usimlete mjini atageuka
 
Nimekuwa katika mitandao ya kijamii kwa muda mrefu saana, nimetembelea sehemu tofauti za starehe na burudani kwa muda mrefu saana, kwa kuwa mimi ni mkristo nimeenda kanisani saana ki uweli nimejaribu kufanya uchunguzi kwa wasichana na wasasa 70% ni pasua kichwa, hawajitambui na hawana future za maisha!
Leo nimejaribu kuja hapa kuuliza na kupata ushauri kwa hawa wife material + future women wapo wapi? na wanapatikana vipi?

Je hapa JF wapo? na kama wapo tunawajuaje??
na kwa sisi wenye uhitaji wa Warembo wa aina hii tunaweza meet nao wapi na vip??

Waswahili wanasema "Ndege wanaofanana huruka pamoja." Ili uweze kupata wife material lazima na wewe uwe na sofa zinazofana na sofa za wife material a.k.a husband material. Usipokuwa husband material basi kamwe hutawaona hao wanawake ambao ni wife material na hata ukiwaona hutawatambua kwa sababu macho na fikra zako zimezoea kuona/kukaa/kutembea na wanawake ambao hawana sifa za wife material.
 
Waswahili wanasema "Ndege wanaofanana huruka pamoja." Ili uweze kupata wife material lazima na wewe uwe na sofa zinazofana na sofa za wife material a.k.a husband material. Usipokuwa husband material basi kamwe hutawaona hao wanawake ambao ni wife material na hata ukiwaona hutawatambua kwa sababu macho na fikra zako zimezoea kuona/kukaa/kutembea na wanawake ambao hawana sifa za wife material.
Asante kw ushauriii
 
Mkuu wapo sana ila hawana tako wana matumbo makubwa na hawaend n fashion.kila la heri mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu wapo sana ila hawana tako wana matumbo makubwa na hawaend n fashion.kila la heri mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] wote?
 
Back
Top Bottom