bategereza
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 3,314
- 1,059
Voda wamekula tsh 3600 zangu sasa hivi. nataka kujiunga na cheka ya wiki hawakuniunganishia na salio lote limeliwa.
Lakini kodi kupanda bado kwa sababu bunge ndo lipo kwenye bajeti, na hata kama watapandisha kodi inaanza kutumika tarehe 01/07 Mwaka wa fedha nadhani mitambo yao inazidiwa na uwingi wa watu wenye kutumia internet inabidi wafanye hivyo ili kupunguza matumizi
Kodi zikipanda, mitandao yote hubadili bei au vifurushi vyao.
Lengo la mitandao ni zuri tu mteja nunua bando ya Internet pekee ndio Lengo kubwa
Mi asa hivi nina lain za TIGO,VODA & AIRTEL kazi yangu ni kuangalia nani mwenye unafuu zaid ya wote kisha ndo najiunga.