Hawa Vodacom wanaumwa!!

Hata Tigo wamepandisha bei. Shilingi 649 sasa zinakupa dakika 17 za Mini Kabang badala ya 20. Hii nimeiona kuanzia leo.
 
TCRA fika pale Mawasiliano Tower waambie watoe kodi kwa huduma za mitandao ya Simu. Kumbukeni tupo kwenye Bunge la bajeti,
 
Kitendo cha VodaCom kubadilisha gharama za bundles bila kuwajulisha wateja wake ni wizi mkubwa. Ni bora muwajulishe wateja kabla hamjabadilisha vifurushi ili mtu ajue anabaki ama kuhama kulingana na uwezo wake.

Hawa watu ni kuwapeleka mahakamani.
 
Halafu hata hiyo internet yao ya unlimited kwa buku ni wizi,maana ukidownload movie moja tu wanakwambia kifurushi.kimekwisha endelea kutumia at low spees,sasa si bora wasingeweka unlimited,wezi kabisa hawa
 
Airtel wameleta vocha mpya ya 500, ukiingiza namba zake wanakupa
Dakika 15
Mb 125
sms 300,....*149*number#
 
Hivi ndo nn kupunguza dakika za kwenye vifurushi
Eti sa hv 500 ambayo ulikua unapata dk 12 na mb 125 sa hv unapata dk 10 na mb 75
650 ambayo ilikuwa dk 20 ss ni dk 17 na mb wamepunguza pia

Hawa voda mi naona wanaumwa nnya kwa kweli!
Huu wizi wa kindezi mpaka lini asee??
Huwa natumia baba lao, leo bando likaisha mapema nikaamua kuvuta ya 500 voda mpesa. Wakanipa dk10, nimebaki nashangaa ujue. Kama ni hivyo hawataniona tena, narudi kwa baba lao kifurushi cha wiki.
 
Leo wamenikasirisha sana,Wameshaona hii nchi ni shamba la babu kila mtu anavuna,viongozi wako bize kushughulikia dili zao,hawana muda na wananchi
 
Leo wamenikasirisha sana,Wameshaona hii nchi ni shamba la babu kila mtu anavuna,viongozi wako bize kushughulikia dili zao,hawana muda na wananchi

Viongozi wenyewe sijui mnawatoa wapi maana wenyewe hawaamini kama m tz anaweza kuwekeza. sasa kama wa tz wote hawana akili. si na wenyewe wamejitukana...muhongo
 
Leo nimenunua kifurushi cha sh 499, yani sina hamu nao tena.. Narudi zangu airtel,

Mimi imeniuma Sana kwani hakuna pa kukimbilia,labla ZANTEL kwa mwenye taarifa ya tarif zao zipoje ili tuhame wote ktk mitandao ya mafisadi WA ccm,kina Rostam
 
Vilevile hao Airtel wameshusha toka dakika 40 kwa sh 1900/-hadi dakika 35.
 
Hivi ndo nn kupunguza dakika za kwenye vifurushi
Eti sa hv 500 ambayo ulikua unapata dk 12 na mb 125 sa hv unapata dk 10 na mb 75
650 ambayo ilikuwa dk 20 ss ni dk 17 na mb wamepunguza pia

Hawa voda mi naona wanaumwa nnya kwa kweli!
Huu wizi wa kindezi mpaka lini asee??
Mkuu bado naona Vodacom wana vifurushi vizuri ukizingatia kuwa mitandao mingine haijaleta vifurushi bomba zaidi ya kushusha idadi ya MB na dakika.
 
Huwa natumia baba lao, leo bando likaisha mapema nikaamua kuvuta ya 500 voda mpesa. Wakanipa dk10, nimebaki nashangaa ujue. Kama ni hivyo hawataniona tena, narudi kwa baba lao kifurushi cha wiki.
Babalao kwa 500 unapata dakika ngapi?
 
Back
Top Bottom