Infopaedia
JF-Expert Member
- Oct 28, 2011
- 1,231
- 1,487
Kuna msg napokea mara kwa mara. Huwa zinasema ''mlio wangu niliochaguwa umewekwa upya''. Mwanzo i did'nt care. Coz sikuwahi kujiunga na hizo huduma. Siku moja nikaona msg ''mlio wako uliochaguwa haujawekwa tena sababu account yako haina credit ya kutusha''. And i was like Whaaaat!!!! Kumbe huwa wanakata pesa. Damn!! Ugly enough, kila nikitaka kuongea na customer care ili wasitishe huu ''wizi'', customer care wako busy. Jamani, nifanye nini sasa????