Simba zee 33
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 1,374
- 1,558
Akhiy mimi sikusikiliza hotuba yake ila kuna mtu ametuma clip hapo juu nimesikia.. anasema.. kuna watanzania walienda kupata chanjo nchi fulani halafu wakaja na corona mbayaWewe ndio wale wale wa peoples power ni wapi alisema chanjo ya corona haifai?
Pia anasema kama wazungu wangekua na uwezo wa kutoa chanjo mbona hakuna chanjo za magonjwa mengine
Camera and Video are not lying