mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,282
- 44,823
NI KWELI HAZIFAI.
sio yeye tu hata mimi nazikataa.
Watumie Kwanza wao wenyewe WAPONE
sio yeye tu hata mimi nazikataa.
Watumie Kwanza wao wenyewe WAPONE
JPM lijanja sanaMimi hua namuelewa sana JPMView attachment 1687910
Aliongea hadharani wewe unayekataa ndo unampotosha!! Haka hutaki chanjo tengeneza ya kwako, au uje na majibu ya kitaalam kua chanjo flan ina mapungufu flan au imetengenezwa na kemikali flan ambayo ina madhara....sio kuongea tuu bila kua na uthibitisho wa kitaalamu
Mkuu yasome kwa umakini sana haya maneno ya Mr MALCOLM X utakuja kunishukuru baadae.Habari wadau wa JamiForums,
Mara nyingi hivi vyomba vya habari vya kibeberu vinatumika vibaya japo vinafahamu kuwa vinatumiwa vibaya.
Jana Voice of American (VOA) kimeweka chapisho kwenye Mitandao yao ya kijamii na kusikika kwenye vyombo vyao vya habari hasa kwenye social networking vikisema kuwa Rais John Pombe Magufuli amesema chanjo za corona hazifai jambo ambalo sio kweli ila ni upotoshaji kwa ajili ya Malengo yao binafsi.
Jana Rais John Pombe Magufuli hakusema chanjo hazifai ila aliitoa Muongozo ni kwa namna ipi tunatakiwa kuzikubali chanjo kwa kuilekeza Wizara ya Afya kuhakikisha sio kila chanjo wanayoletewa wanaipokea tu bila kufanyia uchunguzi na akatolea mfano Baadhi ya chanjo ambazo zimeshatolewa na badala ya kuwa tiba ikawa tatizo.
Pia akatoa mfano mwingine wa chanjo ya kansa kwa kusema wao ndio Wanaongoza kwa kufa na Kansa kwanini hizo chanjo wasijidunge kwanza wao na badala yake wazilete kwetu.
Kwa sauti ya Marekani mnapotoa sauti zenu muwe mnajaribu kutoa na za wizi wa kura wa Trump sio kupotosha Rais Magufuli kasema Wizara ya Afya iwe makini kwenye kuzipokea chanjo isikubali kila chanjo inayoletewa kwani zingine sio nzuri.
Serikali kwani hamna uwezekano wa kuwawajibisha hawa watu wanaomuwekea Rais Maneno Mdomoni?
View attachment 1687900
Kwa maoni yangu, hata vitabu huwa vina"categorise not for use in....but in...." Kwa kusema hivyo huwa maudhui yake yamelenga uhalisi wa nchi hizo au bei zimepunguzwa au kuongezeka kwa kutegemea na package yake. Hata kuna baadhi ya products zimetengenezwa kwa kufuata hali ya hewa ya nchi.Mimi hua namuelewa sana JPMView attachment 1687910
Duh uelewa nao ni tatizo. Hivi unajua madawa huwa ni gharama sana na kampuni zinatumia mamilioni ya pesa kwenye research, na return on investment mara nyingi inategemea nchi zenye buying power waweze kununua, kwahio huwa kuna dawa wanazitoa kama ruzuku kwa nchi masikini.Mimi hua namuelewa sana JPMView attachment 1687910
Sio VOA tu,Habari wadau wa JamiForums,
Mara nyingi hivi vyomba vya habari vya kibeberu vinatumika vibaya japo vinafahamu kuwa vinatumiwa vibaya.
Jana Voice of American (VOA) kimeweka chapisho kwenye Mitandao yao ya kijamii na kusikika kwenye vyombo vyao vya habari hasa kwenye social networking vikisema kuwa Rais John Pombe Magufuli amesema chanjo za corona hazifai jambo ambalo sio kweli ila ni upotoshaji kwa ajili ya Malengo yao binafsi.
Jana Rais John Pombe Magufuli hakusema chanjo hazifai ila aliitoa Muongozo ni kwa namna ipi tunatakiwa kuzikubali chanjo kwa kuilekeza Wizara ya Afya kuhakikisha sio kila chanjo wanayoletewa wanaipokea tu bila kufanyia uchunguzi na akatolea mfano Baadhi ya chanjo ambazo zimeshatolewa na badala ya kuwa tiba ikawa tatizo.
Pia akatoa mfano mwingine wa chanjo ya kansa kwa kusema wao ndio Wanaongoza kwa kufa na Kansa kwanini hizo chanjo wasijidunge kwanza wao na badala yake wazilete kwetu.
Kwa sauti ya Marekani mnapotoa sauti zenu muwe mnajaribu kutoa na za wizi wa kura wa Trump sio kupotosha Rais Magufuli kasema Wizara ya Afya iwe makini kwenye kuzipokea chanjo isikubali kila chanjo inayoletewa kwani zingine sio nzuri.
Serikali kwani hamna uwezekano wa kuwawajibisha hawa watu wanaomuwekea Rais Maneno Mdomoni?
View attachment 1687900
Kuna watu wana viwiliwili ,vichwa wamewapa wazungu wanafikiria kwa maneno ya wazungu,wanacho ongea wanakichukua kama kilivyo huwezi kuwaambia kitu.Mimi hua namuelewa sana JPMView attachment 1687910
Sikufahamu wala sikuwahi kuwa Mwalimu wako ila naweza nikakuambia for sure kwa nini ulifeli shule...Wewe mleta mada ni mpumbavu! Magufuli kasema wazi kwamba endapo hao wazungu wangekuwa wana uwezo wa kutengeneza chanjo tayari ingekuwa wameshatengeneza chanzo cha TB, UKIMWI, na Kansa! Nini maana ya hiyo kauli?!
Msikilize kuanzia dakika ya 1:30 amesema nini hapo!!
Na haiwezekani nikawa na wanafunzi vilaza aina yako manake ni kilaza tu ndie anaweza kupinga suala la Mheshimiwa Rais kusema "chanjo ya corona haifai"!Sikufahamu wala sikuwahi kuwa Mwalimu wako ila naweza nikakuambia for sure kwa nini ulifeli shule...
Ungehangaika kutafuta taarifa mwenyewe badala ya kumezeshwa kila kinachokuwa posted social media, ungegundua hiyo sio chanjo bali ni dawa na ipo sokoni tangu July mwaka jana! Google "Cipremi/Remdesivir" upate maelezo yake!!Mimi hua namuelewa sana JPMView attachment 1687910
Usidanganyike na hiyo screenshot! Hiyo hapo sio chanjo bali ni dawa na ipo tangu June ay july mwaka jana. Sema kama unavyojua internet hoax, hivi sasa ndo wakaanza kusambaza na kusema eti chanjo wakati imeanza kutumika India tangu mwaka jana manake ndiko inatengenezwaJPM lijanja sana