Tangu kumekucha na baada ya kujiunga na moja ya uduma zao ya xtrem(mia zaidi)..
Mpaka muda huu nimejaribu kiasi sms zingekuwa zinaenda basi sasa hiv salio langu la sms lingekuwa linasoma 1 au sufuri,ila ajabu ya TIGO sasa a.k.a mtando wa magumashi.. Nina text 95 ..!!
Network inazingua sio kitoto..
Ila kama unaweza kuwafikishia TIGO ujumbe waambie..
Njia za kuwakumbatia wateja ni Mbili kuu,,
1/kupunguza gharama za uduma kwa wateja..
2/kuongeza ubora wa uduma inayotoa..
Sasa waambie tena mim mwenyewe nataka kuhama rasmi...
Wanabooa..
Mpaka muda huu nimejaribu kiasi sms zingekuwa zinaenda basi sasa hiv salio langu la sms lingekuwa linasoma 1 au sufuri,ila ajabu ya TIGO sasa a.k.a mtando wa magumashi.. Nina text 95 ..!!
Network inazingua sio kitoto..
Ila kama unaweza kuwafikishia TIGO ujumbe waambie..
Njia za kuwakumbatia wateja ni Mbili kuu,,
1/kupunguza gharama za uduma kwa wateja..
2/kuongeza ubora wa uduma inayotoa..
Sasa waambie tena mim mwenyewe nataka kuhama rasmi...
Wanabooa..