Mabwepande
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 230
- 51
Nasikia hawa SPANCO ndo wanahusika na ku recruit customer care AIRTEL. Mwenye kujua zilipo office zao naomba atujuze, kAma vipi tukatupie CV.
Nasikia hawa SPANCO ndo wanahusika na ku recruit customer care AIRTEL. Mwenye kujua zilipo office zao naomba atujuze, kAma vipi tukatupie CV.
njoo airtel makao makuu moroco utasaidiwa
kwani mzee ni kiwango gani cha elimu kinachoitajika kuwa customer care Airtel mi ni mwaka wangu wa mwisho chuo hapa Dar na ratiba yangu imejiachia sana kwani siwezi kufanya hii kazi au hawana shifting ? kama vipi ili na mimi nipeleke cv kama mdau hapo juu.naomba msaada wako ndugu yangu.