The Professor
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 2,218
- 4,533
Truth is everybody is going to hurt you, you just gotta find the ones worth suffering for - Bob Marley.Kuna mambo ambayo kiuhalisia yapo hivyo na huwezi kutabadilisha,
Upendo kwa mama upo tu na ilikuwa hivyo toka siku nyingi,
Yaani ni kwamba watoto kumpenda mama kuliko wewe hilo halizuiliki,
Just imagine toka mtoto akiwa mdogo anaumuona mama anakaa nae 24/7 mama haiwezi kusafiri akamwacha mwanae mdogo never
Wewe unatoka unavyojisikia na wala hujali mwisho wa siku utamuulizia kwa simu tu
Halafu nafikiri unajaribu kuhalalisha unachokisema hapo juu
Kusema mama ndo awe kila kitu haimaaniishi hautalea watoto wewe haimaanishi hutawanunulia vitu haimaanishi hautawapeleka siku moja moja kufurahi nao
Mama lazima awe ndo kila kitu home lakinj haina maana sasa weww ndo kabisaaa watoto hudea nao
Nikisema nitamuangalia ninayemuweza nina-include pia na kumshape,
Ninyi bhana sijui mko vipi ndo maana vilio kila siku haviishi
Bahati mbaya sana mnahisi mtu unamshape tu unavyotaka
Tabia ya mtu ni ngozi huwezi kuibadili hata kama ataficha makucha anaweza kuja kuyaonyesha mkiwa tayari na watoto kibao n umri umeenda
Hivi hijaona watu wanatengana wakiwa wameishi miaka 20 unafikiri shida inaanzia wapi?
Hujaona mwanamke anatoka au mwanaume anatoka ndoani wakiwa ndani ya ndo miaka zaidi ya 10 unafikiri shida ni nini?
Tabia haibadiliki mkuu watu huwa wanaficha makucha tu
Kuna mtu anasema girlfriend wake anamshape hivi unawajua wanawake kweli wewe?
Ipo hivi ukishakuwa na mwanamke kwenye mahusiano mwangalie ana obey rules zako
Isije ikawa unamlazimisha na ana-obey kwa shingo upande kwa sababu ndoani kuna kuchokana mkija kuchokana ndo hapo hakusikilizi tena
Kuna mwingine yupo tofauti lakini ana-switch mwenyewe kulingana na mazingira ili murndane ila huyo wa kutumia energy ohooooo
Nime m quote Bob Marley nikiwa na maana tunavoongelea ku mshape mwanamke haina maana kua basi ndio atakua perfect 100% (You can't guarantee a woman)
So ku mshape tulimaanisha unamfanya aendane na falsafa zako au apunguze zile unnecessary negative things au minds.. Aache ku fake life aendane na uhalisia wa maisha na hali yako wewe muhusika, so ukishaona tayari ameelekea mienendo unayoitaka hapo ndo anakua amekua worth suffering wako kama alivosema Bob Marley hapo juu.
Na point yako.nimeielewa.
All in all at the End : Never trust a woman (Marehemu Kanumba anaongezea anasema Never trust a woman or a disability dog) tuwapende, tuwaoe, tuwagegede ila tusiwaamini 100%