Hawa ni wanawake hatari sana duniani, mwanaume ukikutana nao kimbia

Muhimu zaidi katika ndoa ni Upendo wa dhati kati yenu, Tabia njema na kuhakikisha unaetaka kumuoa/kukuoa Anajielewa nini anataka katika maisha yake.

Halafu mwanaume kama kichwa cha familia ni wajibu wako kuhakikisha katika familia yako;
1. Kuwe na kipato endelevu
2. Kuwe na Iman/Dini
3. Afya ya familia kwa ujumla
4. Uhakika wa chakula bora
5. Uhakika wa malazi bora
6. Mavazi pia ni muhimu
7. Watoto wanapata elimu nzuri
8. Kusaidia ndugu jamaa na marafiki
Na katika majukumu yote hayo mwanamke ni msaidizi tu
Sana tu nimekuelewq ndoamana nataka saidizi wangu awe mpambanaji,ikifa mimi anachukua nafasi yeye,

Maana katika usaidizi wake atakiwa ana uzoefu wa kufanya kazi au kujishughulisha kwa ajili ya kuakikisha familia imekuwa na
Afya njema nk....

Na kama alikiwa tu mama wa nyumbani hawezi kuwa na experience yoyote ya kucare famila maana yeye amezoea tu kukaa nyumbani.

makamu wa rais anaweza kuchukua kiti cha urais kwasababu kazi za rais na yeye ufanya,kwaiyo ufanye mke wako kuwa mtu anaweza kurithi majukumu yako,utakapokuwa huna pesa,unaumwa,umefukuzwa kazi familia itabaki kuwa imara kwa vile kuna mtafutaji mwngine anaweza kukurthi kwa wakat huo na mambo yakaenda swari
 
Akifanya majukumu yako lazima akutawale tu hamna namna
Saivi wanaume tumebadilika.
Tunatumia mifumo mingne kuishi na watu hawa,maswala ya kumfanya yeye ndo mfanyakazi wa nyumbani ni mambo yamepitwa na wakati,hii ni karne nyingine.

Hivi katika maisha yako ushawahi kufikiria kumuhukumu mtoto wako bila kumpga?.

Ukipata jibu la swali la hilo ndo ufanye kwa mkeo,kuisi nae bila kutumia mabavu.
 
Naona hukuelewa hata maandishi yangu sijui kama utawaelewa wanawake wewe

sijakataa kufanya kazi ila majukumu ya mwanaume ni kumhudumia mwanamke na familia yake kwa ujumla

ukiona unaanza kumkimbia mwanamke asiyekuwa na kipato au kazi tatizo ni wewe na sio yeye
Tatzo sio kipato au kazi.
Tatzo yuko tayari kutambua kuwq na yeye anaweza kuhudumia familia kama mwanaume.
 
Naona hukuelewa hata maandishi yangu sijui kama utawaelewa wanawake wewe

sijakataa kufanya kazi ila majukumu ya mwanaume ni kumhudumia mwanamke na familia yake kwa ujumla

ukiona unaanza kumkimbia mwanamke asiyekuwa na kipato au kazi tatizo ni wewe na sio yeye
"Mwanamke anatakiwa kumtegemea mwanaume kwa kila kitu yaani kila kitu"

Nimenukuu hizo line mbili hapo ndo nilidhani na ina sound kama maana yake mwanamke asijishughulishe yani kwa lugha za mtaani wanasema awe golikipa.. Hii ndio kitu mbaya sana.

Ila kwa hapa chini ulipooeleza sawa, kwa lugha sahihi tuseme mwanaume hatakiwi kutegemea kipato cha mkewe katika kulea familia yake.

Niongeza ili tujadili tu hii mada:

Asilia haya mambo yapo hivo lakini je kwa dunia ya sasa hivi na uhalisia wa maisha ya sasahivi ni sawa au jambo hilli linawezekana? Na je hizi sera na kampeni za wanawake (malkia wa nguvu na ile ya haki sawa 50-50) zina faida gani sasa ikiwa kama hazitaleta balance za majukumu katika familia?
 
"Mwanamke anatakiwa kumtegemea mwanaume kwa kila kitu yaani kila kitu"

Nimenukuu hizo line mbili hapo ndo nilidhani na ina sound kama maana yake mwanamke asijishughulishe yani kwa lugha za mtaani wanasema awe golikipa.. Hii ndio kitu mbaya sana.

Ila kwa hapa chini ulipooeleza sawa, kwa lugha sahihi tuseme mwanaume hatakiwi kutegemea kipato cha mkewe katika kulea familia yake.

Niongeza ili tujadili tu hii mada:

Asilia haya mambo yapo hivo lakini je kwa dunia ya sasa hivi na uhalisia wa maisha ya sasahivi ni sawa au jambo hilli linawezekana? Na je hizi sera na kampeni za wanawake (malkia wa nguvu na ile ya haki sawa 50-50) zina faida gani sasa ikiwa kama hazitaleta balance za majukumu katika familia?

Mkuu ipo hivi haya mabadiliko ya dunia ndo yametufikisha hapa

Nikisema mabadiliko nina-generalize vyote vilivyopo duniani,

Elimu imeleta kujitambua vizuri sana tunashukuru kwa hilo,

Haya yanayotokea sasa ni gharama ya mabadiliko mzee,

Sasa hii issue inabaki kwa mtu mmoja mmoja

Kiukweli mimi pamoja na mabadiliko yote nataka mke wangu nikijaaliwa awe ndo master wa nyumbani,

Nataka muda wake mwingi autumie katika familia

Sisemi atakuwa hafanyi kazi noo hata kama anakwenda kazini basi zitakuwa kazi zinazomruhusu ku-spend muda mwingi home

Nataka mwanamke ambaye atapikia familia yake

Mwanamke ambaye ataishi na watoto na atawajua vizuri wanapenda nini na hawapendi nini( kuna kina mama hawawajui watoto wao

Nataka mwanamke ambaye nikirudi home na michoko ndo awe mfariji mkuu mimi pia kwake niwe ndo kila kitu

Sitaki mwanamke a-concetrate sana kwenye kutafuta pesa najitahidi kupambana ili angalau nitimize majukumu ya familia kwa zaidi ya 95%

Speaking of hizo 50/50 ni upuuzi ambao siufatilii kabisa na ndio maana nikitaka kuoa ntamwangalia ninayemuweza na tukishindw basi hatukuzaliwa wote kila mtu ataenda zake
 
Mkuu ipo hivi haya mabadiliko ya dunia ndo yametufikisha hapa

Nikisema mabadiliko nina-generalize vyote vilivyopo duniani,

Elimu imeleta kujitambua vizuri sana tunashukuru kwa hilo,

Haya yanayotokea sasa ni gharama ya mabadiliko mzee,

Sasa hii issue inabaki kwa mtu mmoja mmoja

Kiukweli mimi pamoja na mabadiliko yote nataka mke wangu nikijaaliwa awe ndo master wa nyumbani,

Nataka muda wake mwingi autumie katika familia

Sisemi atakuwa hafanyi kazi noo hata kama anakwenda kazini basi zitakuwa kazi zinazomruhusu ku-spend muda mwingi home

Nataka mwanamke ambaye atapikia familia yake

Mwanamke ambaye ataishi na watoto na atawajua vizuri wanapenda nini na hawapendi nini( kuna kina mama hawawajui watoto wao

Nataka mwanamke ambaye nikirudi home na michoko ndo awe mfariji mkuu mimi pia kwake niwe ndo kila kitu

Sitaki mwanamke a-concetrate sana kwenye kutafuta pesa najitahidi kupambana ili angalau nitimize majukumu ya familia kwa zaidi ya 95%

Speaking of hizo 50/50 ni upuuzi ambao siufatilii kabisa na ndio maana nikitaka kuoa ntamwangalia ninayemuweza na tukishindw basi hatukuzaliwa wote kila mtu ataenda zake
Kumuachia majukumu ya watoto mama ndomana watoto wengi wanawapenda sana wazazi wao kuliko baba zao.

Hata wewe ndo mtoa pesa,kumbuka watoto unawajengea mazingira ya kumpenda mama yao kuliko wewe baba yao.

Mfano mzuri ni kwamba jaribu kumpa mke hela mwnye majukumu ya kuwahudumia watoto,alafu umwambie akawanunulie watoto nguo,hapo jaribu kumuhuliza mtoto wako hii nguo kakununulia nani.jibu lake ni mama mdio kaninunulia.maana hajuw kama wewe ndo umetoa pesa anachojua mama ndo bora kwake maana yeye ndo anamjali na muda mwingi anakuwa nae

Kujifanya kwako kumuweka mke wako ndo muhudumia familia unawatengenezea mazingira mabaya sana watoto wako kwako,,maana thamani yako kwao haitakuwepo.

Hapo ni bora wote mkawajibka katika hali ya kuwalea watoto,afanye kazi nq wewe ufanye kazi.

Haina maana kwamba yeye anapojishughulisha ndo muda wake wote kwenye kazi hapana,.inatakiwa kuwepo muda wa kazi,wakukaa na watoto,kukaa na mume nk.....maana kila kitu kina muda wake.

acha tabia ya kumuachia mke majukumu ya watoto,unajijengea mahusiano mabaya na wanao,maana hawana malezi yako,tumia muda wako pia kukaa na watoto wako,hata kuwapeleka beach,shop nk... pale mke anapokuwa yupo bize na kazi.

Mfumo mzuri wa maisha ya saivi ni kupeana zamu za kukaa na familia kwa muda mimi nipo kazin mke wangu atawacare watoto,na yeye anapokuwa kazini lazima mimi nae niwatunze watoto...

Kwa mazngira hayo yatamfanya mke wangu kuwa mtatuzi mzuri wa maswala ya familia hata kama mimi sitakuwepo mambo yataenda sawa na nitakuwa na husiano mzuri na wanangu
 
Mkuu ipo hivi haya mabadiliko ya dunia ndo yametufikisha hapa

Nikisema mabadiliko nina-generalize vyote vilivyopo duniani,

Elimu imeleta kujitambua vizuri sana tunashukuru kwa hilo,

Haya yanayotokea sasa ni gharama ya mabadiliko mzee,

Sasa hii issue inabaki kwa mtu mmoja mmoja

Kiukweli mimi pamoja na mabadiliko yote nataka mke wangu nikijaaliwa awe ndo master wa nyumbani,

Nataka muda wake mwingi autumie katika familia

Sisemi atakuwa hafanyi kazi noo hata kama anakwenda kazini basi zitakuwa kazi zinazomruhusu ku-spend muda mwingi home

Nataka mwanamke ambaye atapikia familia yake

Mwanamke ambaye ataishi na watoto na atawajua vizuri wanapenda nini na hawapendi nini( kuna kina mama hawawajui watoto wao

Nataka mwanamke ambaye nikirudi home na michoko ndo awe mfariji mkuu mimi pia kwake niwe ndo kila kitu

Sitaki mwanamke a-concetrate sana kwenye kutafuta pesa najitahidi kupambana ili angalau nitimize majukumu ya familia kwa zaidi ya 95%

Speaking of hizo 50/50 ni upuuzi ambao siufatilii kabisa na ndio maana nikitaka kuoa ntamwangalia ninayemuweza na tukishindw basi hatukuzaliwa wote kila mtu ataenda zake
"nikitaka kuoa ntamwangalia ninayemuweza na tukishindw basi hatukuzaliwa wote kila mtu ataenda zake"

Utabadilisha wangapi mkuu? Pia in fact hakuna mwanamke wa aina unayomtaka tayari bila ku mcreate, mwanamke unayemtaka unamtengeneza (una mshape) mwenyewe sasa wewe ukiwa unaacha huyu mara yule utafanya substitution hadi Jesus arudi.
 
"nikitaka kuoa ntamwangalia ninayemuweza na tukishindw basi hatukuzaliwa wote kila mtu ataenda zake"

Utabadilisha wangapi mkuu? Pia in fact hakuna mwanamke wa aina unayomtaka tayari bila ku mcreate, mwanamke unayemtaka unamtengeneza (una mshape) mwenyewe sasa wewe ukiwa unaacha huyu mara yule utafanya substitution hadi Jesus arudi.
Kumbe JF ina watu kama wewe,nilikuwa sijuwi ndo nimeamni leo.

N kweli kabsa usemacho hata na mimi girlfrirnd zangu una ninawashap ninavyotaka tukiwa ndani ya mahusiano.
Na katika vitu navipa kipaumbele kabisa ni kumfanya awe wenye kujiamni yaan amini kwamba nae pia anaweza na sio kunitegemea mimi mpaka hela ya vocha nimpe mimi.....
 
Mimi sina mke ila Mungu akinijali sitaona tabu kuamka asubuhi nkamuachana kitandani mimi huku nikiandaa chai ya asubuhi
Sitaona shda yeye kwenda kazini mimi nikibak nawatunza watoto

Basi na usione shida kulea na wagiriki miongoni mwa wanenu.



Nadhani inakubidi uzirudilie tartibu halisia za Ke na Me: mkiingiliwa na mwizi ndani usiku, nani amfukuzie huyo baina yenu?

Mungu hajashindwa kumfanya Ke, aweze kuzaa, halafu na akuwekee matiti wewe Me kifuani pako ili uutimize wajibu huo wa kunyonyesha. Kuna sababu maalum kwa "nini" Ke awe mzazi na pia, awe na lishe ya mwanae. Tafakari kwanza kwa hilo

Jengine hili; kiongozi hazaliwi tuu bali pia, hulelewa hivo, japo siyo wote wanao lelewa kama viongozi wanatokea kuwa hivo. Kazi ya malezi ni jukumu la mzazi alie karibu sana na mwana, toka utotoni. Siyo Me, I am afraid!! Tuwajibike, kila mtu kwenye nafasi yake. Na hii ndiyo LISHE KUU.

La msingi hapa, ni mwanamke ATUNZWE VEMA, aelimike vya kutosha, ikiwezekana azidishe, ili aweze kuifanya kazi takatifu ya kuwaleta viumbe duniani na kuwapa malezi bora. Na mwanamme aifanye juhudi ya kumtafutia na kumsogezea kila kitu ndani ya uwezo wake bila ukhaini, ili mwanamke asipati usumbufu na kupoteza malengo hayo adhim na adim kwa waliyo wengi, khususan zama hizi.



Ikumbukwe pia kama mke ni mlezi wa mume; A man should always be a Bread Winner/Shield and a woman should always be The Organizer/Caretaker.

TUWAWEZESHE KINA MAMA KUWAJIBIKA, ILI NAO WATUWEZESHE KUWA NA TASWIRA NJEMA NDANI YA JAMII.


Behind every successful man....
 
Basi na usione shida kulea na wagiriki miongoni mwa wanenu.



Nadhani inakubidi uzirudilie tartibu halisia za Ke na Me: mkiingiliwa na mwizi ndani usiku, nani amfukuzie huyo baina yenu?

Mungu hajashindwa kumfanya Ke, aweze kuzaa, halafu na akuwekee matiti wewe Me kifuani pako ili uutimize wajibu huo wa kunyonyesha. Kuna sababu maalum kwa "nini" Ke awe mzazi na pia, awe na lishe ya mwanae. Tafakari kwanza kwa hilo

Jengine hili; kiongozi hazaliwi tuu bali pia, hulelewa hivo, japo siyo wote wanao lelewa kama viongozi wanatokea kuwa hivo. Kazi ya malezi ni jukumu la mzazi alie karibu sana na mwana, toka utotoni. Siyo Me, I am afraid!! Tuwajibike, kila mtu kwenye nafasi yake. Na hii ndiyo LISHE KUU.

La msingi hapa, ni mwanamke ATUNZWE VEMA, aelimike vya kutosha, ikiwezekana azidishe, ili aweze kuifanya kazi takatifu ya kuwaleta viumbe duniani na kuwapa malezi bora. Na mwanamme aifanye juhudi ya kumtafutia na kumsogezea kila kitu ndani ya uwezo wake bila ukhaini, ili mwanamke asipati usumbufu na kupoteza malengo hayo adhim na adim kwa waliyo wengi, khususan zama hizi.



Ikumbukwe pia kama mke ni mlezi wa mume; A man should always be a Bread Winner/Shield and a woman should always be The Organizer/Caretaker.

TUWAWEZESHE KINA MAMA KUWAJIBIKA, ILI NAO WATUWEZESHE KUWA NA TASWIRA NJEMA NDANI YA JAMII.


Behind every successful man....
Mkuu swala la jinsia huwezi kulibadikisha na mimi pia najua mke wangu atakuwa mke na mimi nitakuwa mume,..

Umeitwa mume kwa sababu wewe ni mwanaume na yule ni mke kwasababu ni mwanamke.

Swala lq kufanya kazi halina jinsia na swala la kumpa malenzi mtoto si la mama pekee yake,au wewe unafkiri mpka kumnyonyesha ndo umempa malezi mtoto.

Zama za kusema wanawake ni watu wa nyunbani hiyo ni zama zilitumika kwa kizazi cha wazee wetu kwa wakati wao ila saivi kuna wanawake wanafanyakaz na kulea familia yake akiwa mwenyewe

Na zama hizo zingeendelea kutumika mpka leo basi hawa marubani wa kike usingewaona,madaktari viongozi wakubwa tena wanaongoza wanaume na wapo kwnye ngazi xa juu wakiwaongoza wanaume husingewaona

Hivi ndo nikuulize kwani unafikiri hao marubani,madaktar,viongozi na wengine hawana familia,unatakuniambia hawajuwi majukumu yao wanapokuwa nyumbani kwa vile wanawaongoza wanaume.

Mimi siwezi kuona tatzo yoyote nikapika chakula kwa ajili ya familia.
Hivi nipate shida gani kubaki na watoto wng nyumbani,mama yao anapokuwa kazini..

Au unafikiri wewe kufanya hivyo na jinsia itabadilika?
 
Mkuu swala la jinsia huwezi kulibadikisha na mimi pia najua mke wangu atakuwa mke na mimi nitakuwa mume,..

Umeitwa mume kwa sababu wewe ni mwanaume na yule ni mke kwasababu ni mwanamke.

Swala lq kufanya kazi halina jinsia na swala la kumpa malenzi mtoto si la mama pekee yake,au wewe unafkiri mpka kumnyonyesha ndo umempa malezi mtoto.

Zama za kusema wanawake ni watu wa nyunbani hiyo ni zama zilitumika kwa kizazi cha wazee wetu kwa wakati wao ila saivi kuna wanawake wanafanyakaz na kulea familia yake akiwa mwenyewe

Na zama hizo zingeendelea kutumika mpka leo basi hawa marubani wa kike usingewaona,madaktari viongozi wakubwa tena wanaongoza wanaume na wapo kwnye ngazi xa juu wakiwaongoza wanaume husingewaona

Hivi ndo nikuulize kwani unafikiri hao marubani,madaktar,viongozi na wengine hawana familia,unatakuniambia hawajuwi majukumu yao wanapokuwa nyumbani kwa vile wanawaongoza wanaume.

Mimi siwezi kuona tatzo yoyote nikapika chakula kwa ajili ya familia.
Hivi nipate shida gani kubaki na watoto wng nyumbani,mama yao anapokuwa kazini..

Au unafikiri wewe kufanya hivyo na jinsia itabadilika?
Umeeleza vizuri sana ingekua ni mtihani halafu mimi ndio nakusaishia ningekupatia 100%, unajua tukiwa hapa kwenye maandishi watu wengi wanaandika vitu kinadharia au vitu vya kifikirika wanasahau kuleta vitu katika uhalisia, lakini toka mwanzo nimekufatilia mzee unaongea uhalisia na fact tupu..
 
Kumbe JF ina watu kama wewe,nilikuwa sijuwi ndo nimeamni leo.

N kweli kabsa usemacho hata na mimi girlfrirnd zangu una ninawashap ninavyotaka tukiwa ndani ya mahusiano.
Na katika vitu navipa kipaumbele kabisa ni kumfanya awe wenye kujiamni yaan amini kwamba nae pia anaweza na sio kunitegemea mimi mpaka hela ya vocha nimpe mimi.....
Kabisa mkuu na ndio inavotakiwa.
 
Kumuachia majukumu ya watoto mama ndomana watoto wengi wanawapenda sana wazazi wao kuliko baba zao.

Hata wewe ndo mtoa pesa,kumbuka watoto unawajengea mazingira ya kumpenda mama yao kuliko wewe baba yao.

Mfano mzuri ni kwamba jaribu kumpa mke hela mwnye majukumu ya kuwahudumia watoto,alafu umwambie akawanunulie watoto nguo,hapo jaribu kumuhuliza mtoto wako hii nguo kakununulia nani.jibu lake ni mama mdio kaninunulia.maana hajuw kama wewe ndo umetoa pesa anachojua mama ndo bora kwake maana yeye ndo anamjali na muda mwingi anakuwa nae

Kujifanya kwako kumuweka mke wako ndo muhudumia familia unawatengenezea mazingira mabaya sana watoto wako kwako,,maana thamani yako kwao haitakuwepo.

Hapo ni bora wote mkawajibka katika hali ya kuwalea watoto,afanye kazi nq wewe ufanye kazi.

Haina maana kwamba yeye anapojishughulisha ndo muda wake wote kwenye kazi hapana,.inatakiwa kuwepo muda wa kazi,wakukaa na watoto,kukaa na mume nk.....maana kila kitu kina muda wake.

acha tabia ya kumuachia mke majukumu ya watoto,unajijengea mahusiano mabaya na wanao,maana hawana malezi yako,tumia muda wako pia kukaa na watoto wako,hata kuwapeleka beach,shop nk... pale mke anapokuwa yupo bize na kazi.

Mfumo mzuri wa maisha ya saivi ni kupeana zamu za kukaa na familia kwa muda mimi nipo kazin mke wangu atawacare watoto,na yeye anapokuwa kazini lazima mimi nae niwatunze watoto...

Kwa mazngira hayo yatamfanya mke wangu kuwa mtatuzi mzuri wa maswala ya familia hata kama mimi sitakuwepo mambo yataenda sawa na nitakuwa na husiano mzuri na wanangu

Kuna mambo ambayo kiuhalisia yapo hivyo na huwezi kutabadilisha,

Upendo kwa mama upo tu na ilikuwa hivyo toka siku nyingi,

Yaani ni kwamba watoto kumpenda mama kuliko wewe hilo halizuiliki,

Just imagine toka mtoto akiwa mdogo anaumuona mama anakaa nae 24/7 mama haiwezi kusafiri akamwacha mwanae mdogo never

Wewe unatoka unavyojisikia na wala hujali mwisho wa siku utamuulizia kwa simu tu

Halafu nafikiri unajaribu kuhalalisha unachokisema hapo juu

Kusema mama ndo awe kila kitu haimaaniishi hautalea watoto wewe haimaanishi hutawanunulia vitu haimaanishi hautawapeleka siku moja moja kufurahi nao

Mama lazima awe ndo kila kitu home lakinj haina maana sasa weww ndo kabisaaa watoto hudea nao

"nikitaka kuoa ntamwangalia ninayemuweza na tukishindw basi hatukuzaliwa wote kila mtu ataenda zake"

Utabadilisha wangapi mkuu? Pia in fact hakuna mwanamke wa aina unayomtaka tayari bila ku mcreate, mwanamke unayemtaka unamtengeneza (una mshape) mwenyewe sasa wewe ukiwa unaacha huyu mara yule utafanya substitution hadi Jesus arudi.

Nikisema nitamuangalia ninayemuweza nina-include pia na kumshape,

Ninyi bhana sijui mko vipi ndo maana vilio kila siku haviishi

Bahati mbaya sana mnahisi mtu unamshape tu unavyotaka

Tabia ya mtu ni ngozi huwezi kuibadili hata kama ataficha makucha anaweza kuja kuyaonyesha mkiwa tayari na watoto kibao n umri umeenda

Hivi hijaona watu wanatengana wakiwa wameishi miaka 20 unafikiri shida inaanzia wapi?

Hujaona mwanamke anatoka au mwanaume anatoka ndoani wakiwa ndani ya ndo miaka zaidi ya 10 unafikiri shida ni nini?

Tabia haibadiliki mkuu watu huwa wanaficha makucha tu

Kuna mtu anasema girlfriend wake anamshape hivi unawajua wanawake kweli wewe?

Ipo hivi ukishakuwa na mwanamke kwenye mahusiano mwangalie ana obey rules zako

Isije ikawa unamlazimisha na ana-obey kwa shingo upande kwa sababu ndoani kuna kuchokana mkija kuchokana ndo hapo hakusikilizi tena

Kuna mwingine yupo tofauti lakini ana-switch mwenyewe kulingana na mazingira ili murndane ila huyo wa kutumia energy ohooooo
 
Haya
Saivi wanaume tumebadilika.
Tunatumia mifumo mingne kuishi na watu hawa,maswala ya kumfanya yeye ndo mfanyakazi wa nyumbani ni mambo yamepitwa na wakati,hii ni karne nyingine.

Hivi katika maisha yako ushawahi kufikiria kumuhukumu mtoto wako bila kumpga?.

Ukipata jibu la swali la hilo ndo ufanye kwa mkeo,kuisi nae bila kutumia mabavu.
 
Tatizo wanaume wa siku hizi hamna shukurani mke anaweza akawa anamhudumia mume wake ila limume lake linamtesa au linamsaliti aise mimi nikijua naanzaje kuacha kukupanda kichwani?

Yaani tena nyumba itaongozwa na sheria na kanuni zangu mimi hautaki katafute pesa au ondoka nyumbani au mimi ndo nitaondoka nyumbani ili nikuache ule raha vizuri na michepuko yako tunawavumilia wanaume wapole na waaminifu tu na siyo wanaume wababe na wazinzi
Hapana.
Hizo ndo fikra mbovu walizo nazo wadada zetu,ndomana uwa wana tamaa,mwanamke wa aina hyo hata kipato kikipungua lazma akukimbie
 
Kuna mambo ambayo kiuhalisia yapo hivyo na huwezi kutabadilisha,

Upendo kwa mama upo tu na ilikuwa hivyo toka siku nyingi,

Yaani ni kwamba watoto kumpenda mama kuliko wewe hilo halizuiliki,

Just imagine toka mtoto akiwa mdogo anaumuona mama anakaa nae 24/7 mama haiwezi kusafiri akamwacha mwanae mdogo never

Wewe unatoka unavyojisikia na wala hujali mwisho wa siku utamuulizia kwa simu tu

Halafu nafikiri unajaribu kuhalalisha unachokisema hapo juu

Kusema mama ndo awe kila kitu haimaaniishi hautalea watoto wewe haimaanishi hutawanunulia vitu haimaanishi hautawapeleka siku moja moja kufurahi nao

Mama lazima awe ndo kila kitu home lakinj haina maana sasa weww ndo kabisaaa watoto hudea nao



Nikisema nitamuangalia ninayemuweza nina-include pia na kumshape,

Ninyi bhana sijui mko vipi ndo maana vilio kila siku haviishi

Bahati mbaya sana mnahisi mtu unamshape tu unavyotaka

Tabia ya mtu ni ngozi huwezi kuibadili hata kama ataficha makucha anaweza kuja kuyaonyesha mkiwa tayari na watoto kibao n umri umeenda

Hivi hijaona watu wanatengana wakiwa wameishi miaka 20 unafikiri shida inaanzia wapi?

Hujaona mwanamke anatoka au mwanaume anatoka ndoani wakiwa ndani ya ndo miaka zaidi ya 10 unafikiri shida ni nini?

Tabia haibadiliki mkuu watu huwa wanaficha makucha tu

Kuna mtu anasema girlfriend wake anamshape hivi unawajua wanawake kweli wewe?

Ipo hivi ukishakuwa na mwanamke kwenye mahusiano mwangalie ana obey rules zako

Isije ikawa unamlazimisha na ana-obey kwa shingo upande kwa sababu ndoani kuna kuchokana mkija kuchokana ndo hapo hakusikilizi tena

Kuna mwingine yupo tofauti lakini ana-switch mwenyewe kulingana na mazingira ili murndane ila huyo wa kutumia energy ohooooo

Mpe huyo!! Tatizo lililopo hapa kwa mtoa mada, wala hasomi wanacho changia wahusika wa jinsia "Ke!" Ushaa wauliza wanawake wanataka mme wa aina gani?


Ninaweza kusema hivi: Hakuna mama anae weza kumuachia beki 3 mwanawe, akawa na utulivu kwenye roho yake! Huwa amelazimika kutoka nyumbani na kwenda kazini kwa sababu za kiuchumi zisizo zuilika. Hata nikibaki nao mimi baba yao, kila muda huwa anaulizia hali. Lakini mimi sijafanya hilo, kwa sababu nina imani wapo in good hands all the way.


SIONI VILE MAMA ATAKWENDA MSITUNI KUWINDA, MIMI NIKIBAKI NYUMBANI SIKU ZAIDI YA MOJA NA WATOTO, HUKU NIKIAMINI NITAWEZA, NA SOTE TUKIAMINI TUTAYAWEZA KILA MTU KWA UPANDE WA MWENZAKE! DAH!



Lakini wewe mwanamume ukisimama imara na kuweka usawa ndani kwako,bimaana hamna uonevu na upuuzi katika kuzikimu haja zake, kamwe hatosita kuiacha hiyo ajira ya pembeni na kujiajiri rasmi kwako wewe na familia yenu! Tena kiroho safi yaani!

Sababu kubwa, ni vile wengi wanapuuzwa na kunyanyaswa na sisi waume zao, hapo lazima ataamsha defense mechanism mapema sana kwako! Umejifanya wewe una haki zaidi kwenye kipato cha familia, umemfanya azisubiri mno haki zake kama mke na mlezi, au umemfanya omba omba wa mahitaji yake ya msingi.


By the way... Kwani akiwa na taaluma flani, itakufa au kuzizima eti ni kwa sababu hajenda kazini?

Is there any nobling task for a woman than raising her offsprings? She is there to assure it is well done, and YOU MUST BE THE EMPOWERING AGENT IN THE PROCESS.

Ipo hivi: malezi ya mama yana mkondo wake wa pekee, na malezi ya baba yana mkondo wake wa pekee, na kadhalika, hizo njia mbili lazima zishirikiane in harmony ili watoto wayapate makuzi maridhawa. Criss-Cross itazaa cheche na hatimae moto usiyo wa nchi hii ! Na watakao athirika zaidi ni hawa hawa watoto tunao wachokea na kufa kwa ajili yao.
 
Back
Top Bottom