Habarindiyohiyo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 263
- 13
Kada wa CCM na Mkuu wa zamani wa Wilaya mbalimbali nchini kesho ataanza kutoa ushahidi wa kumng'oa kijana wa CHADEMA John Mnyika asiwe mbunge wa Ubungo.
Kada huyo ataambatana na wanachama wengine wa CCM kutoka kata mbalimbali ambao nao wamejiandaa kutoa ushahidi mzito wa kumuunga mkono Mheshimiwa Ng'umbi.
Kesi hiyo itasikilizwa katika mahakama ya kazi iliyopo mjini jirani na vyuo vya CBE na DIT kuanzia saa 3 asubuhi.
Kesi hiyo imetajwa leo mbele ya Jaji Msuya na Wakili wa Hawa Ng'umbi ametakiwa kuwasilisha leo vielelezo vya ushahidi huo mzito dhidi ya Mnyika ili kesho Ng'umbi aweze kutoa maelezo yake.
Kada huyo ataambatana na wanachama wengine wa CCM kutoka kata mbalimbali ambao nao wamejiandaa kutoa ushahidi mzito wa kumuunga mkono Mheshimiwa Ng'umbi.
Kesi hiyo itasikilizwa katika mahakama ya kazi iliyopo mjini jirani na vyuo vya CBE na DIT kuanzia saa 3 asubuhi.
Kesi hiyo imetajwa leo mbele ya Jaji Msuya na Wakili wa Hawa Ng'umbi ametakiwa kuwasilisha leo vielelezo vya ushahidi huo mzito dhidi ya Mnyika ili kesho Ng'umbi aweze kutoa maelezo yake.