Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
Unavyoandika inaonekana si mkazi wa ubungo kwa taarifa yako ww ni kibaraka niona thread yako ya jinsi ya ccm kuimaliza cdm
Ngoja nikuambie kijana o jike mnyika anafanya kazi na atapiga kazi na anaiweza kazi jimbo la ubungo ndo lenye wakazi wengi sana
Mnyika juzi alikuwa kwenye ufutialiaji wa maji mm mkazi wa ubungo na najua anachofanya
Anafanya mikutano kusikiliza kero za wananchi na kuzitekeleza na baadaye kutoa ripot
Wana UBUNGO hatumtaki mnyika na tumeshafafanua kero zetu zote, kwanza hatujui kama anaishi dar na tunamuona kwenye TV tu, nitawaunga mkono hao watu na ikibidi uchaguzi uitishwe mara moja, UBUNGO tupo kama mayatima hatujui nani mbunge wetu, anasubiri magufuli aje afungue kituo cha daladala ndo aonekane.
Inshort tunajuta kumchagua kuwa mbunge na hatutorudia kosa hili kamwe na yeye anajua hili.
Unavyoandika inaonekana si mkazi wa ubungo kwa taarifa yako ww ni kibaraka niona thread yako ya jinsi ya ccm kuimaliza cdm
Ngoja nikuambie kijana o jike mnyika anafanya kazi na atapiga kazi na anaiweza kazi jimbo la ubungo ndo lenye wakazi wengi sana
Mnyika juzi alikuwa kwenye ufutialiaji wa maji mm mkazi wa ubungo na najua anachofanya
Anafanya mikutano kusikiliza kero za wananchi na kuzitekeleza na baadaye kutoa ripot
Wana UBUNGO hatumtaki mnyika na tumeshafafanua kero zetu zote, kwanza hatujui kama anaishi dar na tunamuona kwenye TV tu, nitawaunga mkono hao watu na ikibidi uchaguzi uitishwe mara moja, UBUNGO tupo kama mayatima hatujui nani mbunge wetu, anasubiri magufuli aje afungue kituo cha daladala ndo aonekane.
Inshort tunajuta kumchagua kuwa mbunge na hatutorudia kosa hili kamwe na yeye anajua hili.
mahakama ya kazi? hii ni kesi inayohusu nini?
Wabunge wa CDM watapukutika wote mwaka huu. Lema ndiyo huyoo amekalia kuti kavu.
Kumbe karibu wote wana kesi? Inaonekana walicheza faulu nyingi wakati wa uchaguzi.
Ubungo gani unaishi mwenzangu maana ubungo kubwa! kazi gani mnyika anafanya sisi ndio tupo kwenye jimbo hatuoni chochote ila tunamuona kwenye kukiimarishs chama, kuwa mkweli ndugu yangu HALI SIO NZURI ubungo. nimewaambia nionesheni kafanya nini na ushahidi tuone, anawaambia wananchi tuandamane mamlaka ya maji kweli hilo ndio tuliomchagulia kama muwakilishi wetu? si bora akae pembeni tujue hatuna mbunge.
Be fair tutende haki wana ubungo.
Wabunge wa CDM watapukutika wote mwaka huu. Lema ndiyo huyoo amekalia kuti kavu.
Kumbe karibu wote wana kesi? Inaonekana walicheza faulu nyingi wakati wa uchaguzi.
Wana UBUNGO hatumtaki mnyika na tumeshafafanua kero zetu zote, kwanza hatujui kama anaishi dar na tunamuona kwenye TV tu, nitawaunga mkono hao watu na ikibidi uchaguzi uitishwe mara moja, UBUNGO tupo kama mayatima hatujui nani mbunge wetu, anasubiri magufuli aje afungue kituo cha daladala ndo aonekane.
Inshort tunajuta kumchagua kuwa mbunge na hatutorudia kosa hili kamwe na yeye anajua hili.
Wabunge wa CDM watapukutika wote mwaka huu. Lema ndiyo huyoo amekalia kuti kavu.
Kumbe karibu wote wana kesi? Inaonekana walicheza faulu nyingi wakati wa uchaguzi.
Wana UBUNGO hatumtaki mnyika na tumeshafafanua kero zetu zote, kwanza hatujui kama anaishi dar na tunamuona kwenye TV tu, nitawaunga mkono hao watu na ikibidi uchaguzi uitishwe mara moja, UBUNGO tupo kama mayatima hatujui nani mbunge wetu, anasubiri magufuli aje afungue kituo cha daladala ndo aonekane.
Inshort tunajuta kumchagua kuwa mbunge na hatutorudia kosa hili kamwe na yeye anajua hili.
kweli wewe ni layman- kilaza!toka lini mahakama ya kazi isikilize election cases?kada wa ccm na mkuu wa zamani wa wilaya mbalimbali nchini kesho ataanza kutoa ushahidi wa kumngoa kijana wa chadema john mnyika asiwe mbunge wa ubungo.
kada huyo ataambatana na wanachama wengine wa ccm kutoka kata mbalimbali ambao nao wamejiandaa kutoa ushahidi mzito wa kumuunga mkono mheshimiwa ngumbi.
kesi hiyo itasikilizwa katika mahakama ya kazi iliyopo mjini jirani na vyuo vya cbe na dit kuanzia saa 3 asubuhi.
kesi hiyo imetajwa leo mbele ya jaji msuya na wakili wa hawa ngumbi ametakiwa kuwasilisha leo vielelezo vya ushahidi huo mzito dhidi ya mnyika ili kesho ngumbi aweze kutoa maelezo yake.