Hawa ndo Kuku wa Malawi

hao hapo wa malawi wakiwa na miezi 4 bamda la pembeni ni sasso waliwa na mwezi na nusu.
malawi japo ni kama wa kienyeji ila wanataka uangalizi sana wana ugonjwa wa kunya chokaa na baada kufa ...tiba yake ni chenga za mkaa kwa kuchanganya kwenye chakula
hii kwangu mpyaaa una changanya kiasi gan? hizo chenga za mkaaa na je una fanya ivo hadi uone dall au hata wakiwa poa??

nigen ila cjaona ajabu maana kipind nakua mama alikua ana walisha chenga za mkaaa nguluwe ktk chakula nilipo uliza kasema ni dawa ya minyoooo
Wadau, nimefuga kuku wa Malawi. Nilichukua vifaranga kama 200 sasa hivi wanaendelea vizuri ni wiki ya 4 sasa.

Kwa mliotangulia naombeni msaada. Je, hawa kuku kuna haja ya kuwalisha hata usiku?

View attachment 367361
 
chenga za mkaa kisia tu mkuu na uwape japo mara tatu kwa week maana hiyo ni njia ya kiasili...
hao sasso wanastahimili sana maradhi na wanakuwa upesi mno. nadhani watu wakija kuwajua hawatafuga kuku tofauti na hao

kama una maswali njoo hewani maana muda wangu umepunguzwa na kazi japo napenda jf 0655404226
 
hawa kuku kwa sasa wana patikana maeneo mengi tz ktk poutry productions wanaenea kwa kasi maana kuku hawa ni madini wana vumilia kila hali na magonjwa hapo morogoro wapo ngoja nikutafutie namba za wahusika kwa huko but mi nili combine na washkaji Tukaagiza 1000 wale og malawi kabisa maana nilipo ni mpakan kabisa na malawi then tuka gawana hata hapa nilipo wapo lakin kwa order
Mkuu nipo mbalizi mbeya nahitaji hao kuku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom