Hawa ndo Kuku wa Malawi

Hawa ndo Kuku wa Malawi

Wadau, nimefuga kuku wa Malawi. Nilichukua vifaranga kama 200 sasa hivi wanaendelea vizuri ni wiki ya 4 sasa.

Kwa mliotangulia naombeni msaada. Je, hawa kuku kuna haja ya kuwalisha hata usiku?

View attachment 367361
Hapana wataalamu wa mifugo tunakushaur kuwalisha mchana tuu na usiku waendelee kula chakula kilicho bakia mchana ili kuongeza ukuaji
By me
 
Mkuu kwani unawafungua midomo kuwalisha we we waekee wenyewe watapima
uko sahihi kwa kejer but huh ni mrad so vichekesho unge kua mfugaji using jib ulicho fikiri
 
Ili kupangiwa muda ina bidi useme

1.una hitaji vifaranga wangapi
2.wa umrigani?

NB: vifaranga wana tofautiana bei kulingana na umri unao chukulia na mahala wanako patikana

kwa hapa nilipo

Wasiku 1=2000
kuanzia wiki 1-2 =3000
wiki 2-4=5000

Muda wa order hauzidi siku 22
na mm nahitaji 0765505756
 
Kwa wa kienyeji, kiini ni cha njano. Sanasana kitakua rangi ya chungwa akila 'sana' majani. Yai shurti kiini kiwe cha njano. Nje ya hapo ni matatizo tu. Hao kuku wa kisasa ndani hata ufanyeje kiini hakiwi cha njano kamwe. Labda mpauko wa njano.
Mkuu naona unataka kupotosha.kuku anapokula majani ndiyo anavyoweza kutoa mayai yenye kiin cha njano.mfano mm nina kuku wa kizungu pure nimewafuga kienyeji kila ck wanataga japo ganda la nje linaonekana kama yai la kizungu but njoo ndani kiini ni cha njano sana.
Hivyo kua makini na coments uzitoazo.u naweza potosha wenzako.
 
Hongera ndugu! Kwa hatua uliyoifikia, Mimi nimeshawahi kuwafuga ni mwaka mmoja tu saizi nimeanza kufuga kuku aina ya kuchi.

Ili uweze kuwatunza vizuri chakula Mara nyingi inatakiwa ukiwapa asuubuhi cha kutosha ,huwezi kuongeza , na sijajua mchanganyo wako unawapaje?
Hata hivyo ukiwazowesha kuwapa Mara mbili itakuja kukutesa sana wakiwa wakubwa.
Nakusihi kama wameshafunga manyoya Yale magumu usiku unatakiwa usiwashe taa , lengo la kufanya hivyo ni kuwafanya walale.
Na kama hiyo haitoshi kama unawaachia mwanga kwa ajili ya kuongeza joto tafuta njia mbadala ya kuwapatia joto
Pia kuna mdau amekusihi juu ya chanjo fuatilia mwanzo mwisho, hatua zote.
Kiufupi wanalipa Ukiwatunza vizuri .
Nahitaji Kuchi, wapi nitawapata mkuu?
 
hawa kuku kwa sasa wana patikana maeneo mengi tz ktk poutry productions wanaenea kwa kasi maana kuku hawa ni madini wana vumilia kila hali na magonjwa hapo morogoro wapo ngoja nikutafutie namba za wahusika kwa huko but mi nili combine na washkaji Tukaagiza 1000 wale og malawi kabisa maana nilipo ni mpakan kabisa na malawi then tuka gawana hata hapa nilipo wapo lakin kwa order
Nami niko Morogoro na ningependa kuwapata hao kuku wa Malawi, niunganishe pls...
 
wafugaji nauza mbegu ya azolla itakusaidia sana kukupa chakula cha kulisha kuku au nguruwe
 
kwa kiasi chochote cha vifaranga huyu mdau ndo suruhisho lako ktk ufugaji wa kuku yuko MOROGOGORO ila ana sambaza nyanda za juu kusini kote yaan
iringa
songea
mbeya
songwe
rukwa
katavi
nk

namba zake

+255 717 063 852
 
Mkuu naona unataka kupotosha.kuku anapokula majani ndiyo anavyoweza kutoa mayai yenye kiin cha njano.mfano mm nina kuku wa kizungu pure nimewafuga kienyeji kila ck wanataga japo ganda la nje linaonekana kama yai la kizungu but njoo ndani kiini ni cha njano sana.
Hivyo kua makini na coments uzitoazo.u naweza potosha wenzako.
Tuma picha ya kuku na yai likiwa kabla na baada ya kulivunja. Nakuhakikishia kuku wa kisasa hawezi kuwa na yai kiini cha njano kama yule wa kienyeji.

Halafu hata yakikaangwa au kupikwa ya kienyeji yana ladha zaidi. Ya kisasa hamna kitu.

Then utunzaji wa hao wa kisasa ndo balaa....
 
hao hapo wa malawi wakiwa na miezi 4 bamda la pembeni ni sasso waliwa na mwezi na nusu.
malawi japo ni kama wa kienyeji ila wanataka uangalizi sana wana ugonjwa wa kunya chokaa na baada kufa ...tiba yake ni chenga za mkaa kwa kuchanganya kwenye chakula
 

Attachments

  • 1476605988844.jpg
    1476605988844.jpg
    103.2 KB · Views: 167
Back
Top Bottom