willy marandu
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 346
- 44
Pablo escoba ni hatariiiii
Pablo escoba ni hatariiiii
Daah kwa hali hiyo Ukuta wa Mexico ni muhimu kwa watu wa Marekani
Wanalima mmea unaoitwa coca, ndimo inamopatikana.cocain.mbona mexico wanaongoza?
! wakifatiwa na colombia? kwanini
anhaaaWanalima mmea unaoitwa coca, ndimo inamopatikana.cocain.
Pablo alishafariki na chanzo cha kifo chake mpaka leo serikali ya colombia haijathibitisha kama alikufa kwa kujipiga mwenyewe risasi au kuna mtu alimpiga risasi maana jeshi la serikali ndilo lilimvamia huko Medellin ila alikutwa na jeshi hilo keshakufa tayariMkuu, huyu Pablo nilisomaga historia ni mtu hatari sana, ni mtu aliyepata utajiri mkubwa kupitia madawa. Je, bado yupo hai?
Mkuu Hiyo ni sumuJamani wangehalalisha tu hiyo ngada maana mtu anakula mwenyewe kwa akili zake timamu bila kushurutishwa na mtu yeyotw
Tanzania au nchi nyingine ni njia tu. Nia ni kupunguza kukaguliwa kupita kiasisasa ka kiwango kikubwa unatengenezwa colombia na mexico inakuaje tena unasikia unatoka tanzania kwenda marekani kwani na sisi tuna viwanda?
Vuta picha baadh yao wanarudi upya mzigoniHiibihaahara kwa sasa imeshuka sana haina ten faida....wamebana sana macho kodo kila mahali.
duh hichi kitabu ulicho soma ulisoma kipindi cha miakq ya 79 ama?Mkuu, huyu Pablo nilisomaga historia ni mtu hatari sana, ni mtu aliyepata utajiri mkubwa kupitia madawa. Je, bado yupo hai?
Vuta picha baadh yao wanarudi upya mzigoni
Alishafariki zaman sanaMkuu, huyu Pablo nilisomaga historia ni mtu hatari sana, ni mtu aliyepata utajiri mkubwa kupitia madawa. Je, bado yupo hai?
Ila huyo anayejiita THE GREATEST WORLD OF OUTLAWS ndio kaua balaaHawa madrug dealers walikuwa na majina ya ajabu sana eti lord of the skies
dah wewe ungeleta yako basi maana unamkatisha tamaa aliyeelimisha ambao hawakumjua hata pablo escoberListi yako imejaa vidagaa tu,mtu kama freeway rick ross,christopher coke,felix mitchel na frank licas hawapo hata kwenye top 20 ya wauza unga wakubwa kuwahi kutokea duniani