Hawa ndio wamefanya mapenzi kuwa magumu

Hawa ndio wamefanya mapenzi kuwa magumu

Dumuzii

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2019
Posts
3,601
Reaction score
8,706
Kiuhalisia nikiwa kama mmoja ya hao watu wanao changia mapenzi kuwa magumu ni hivi.

Kuna wimbi la vijana wakike kwa wakiume wakilalamika ugumu wa mapenzi na heri wabaki kuwa singo maana mapenzi yanaumiza vichwa.

1. Wanaume walio oa hawa ni watu ambao wameisha oa tayari ila bado wanamichepuko huko nje. Hii ni pale mke anapo kuwa sio sehemu ya refreshment kwa mmewe basi mwanaume anatafuta ka manzi ka kujipozea na kutoka nako out kwenda sehemu za burudani mbali mbali na kuifurahisha nafsi yake kwa asilimia 99. Na kurudi nyumbani kwa mkewe mwepesi na kuanza kubeba upya mizigo ya familia.

2. Wanawake ambao hawaja olewa, hawa ni single ladies ambao wanatoka kimapenzi na wanaume wa watu, na hawa wadada ni ngumu kuwaacha hawa wanaume kwa sababu hawa wanaume wanakuanao nyakati za furaha tu huku za majonzi zinakuwa kwa mke. Ndio maana demu yoyote alie anza kudate na mme wa mtu hawa wanawake kuacha sio rahisi kwani wanapata furaha sana na kuona hakuna sehemu nyingine zaidi ya kwa mme wa mtu.

Ndio maana hawaishi kusema mme wa mtu mtamu kwa sababu wapo kwenye furaha tu hamna karaha....mambo ya sijui tra wameleta makadirio makubwa hayo yatadili na mke ....sijui ada mke ndio atahusika ila mjini kuna kiwanja gani kitamu kitakacho tu spoil ni mchepuko single lady ambae yupo free ,hana mume wa kumuongoza.

Ndio maana wanaume ambao hawajaoa ni ngumu sana kupata mke kwa sababu wao wanakua wamezidiwa kete na walio oa. Huyu ambaye hajaoa kila akimwita huyu demu kila siku anamuitia aje geto. [emoji16][emoji16] wakati walio oa ni jiandae jumapili tunaenda hoteli flan nasikia pale pana kuku choma from UK twende tuka test. Sasa wewe ambae hujaoa fikiria wewe ungekua ndio demu ungekataa? Na ukatae ili iwaje? Hutaki nyama choma from UK au...?

Sisi ambao tumeoa tunaviwanja vyetu huko ni nadra sana kukuta vijana singo zaidi ya vibabu, vibaba na vijana wa makamo wakiwa na totozi mbichi kabisa na hazija enda kilomita.

Huku nyie mkisubiri konde boy aandae show mkavizie totozi zilizo jichokea na maisha zikikohoa moshi wa bangi, au mnazipeleka huko hizo totozi zenu[emoji23][emoji23][emoji23] lazima ziwaone wazinguaji tu na ziwasumbue acheni kupeleka mademu gest na geto kila mualiko mnao wapa. Alafu kuweni wajanja.

NB: Mwanaume aliye oa mwenye chenji hata ya kubadirishia mboga tu akimnasa demu wako wako lazima utaleta uzi humu wa kudisi wanawake [emoji23][emoji23][emoji23]

Kila lakheri.....!
 
Hii theory ipo applicable huku kwetu africa ,kwenye maisha magumu, ushamba, low exposure, uzembe na umaskini, kwa wenzetu walioko seriouz kwa kila wafanyalo naona haya mambo hayawataabishi kama sisi. Na ndio maana maisha ya kifamilia kwa jamii zetu nyingi za kiafrika sio stable kabisa.
 
Hii theory ipo applicable huku kwetu africa ,kwenye maisha magumu, ushamba, low exposure, uzembe na umaskini, kwa wenzetu walioko seriouz kwa kila wafanyalo naona haya mambo hayawataabishi kama sisi. Na ndio maana maisha ya kifamilia kwa jamii zetu nyingi za kiafrika sio stable kabisa.
Kwa upande wa family stability kati yetu na hao unaosema mmeendelea nao nani zaidi....? Mkuu unaweza ukua unasema una exposure lkn hauna feasibility study za kutosha.

Hao unao sema wapo stable kama hujui ndio wanatamani maisha yakwetu unaotudharau. Hayo maisha ya kumfanya mwanamke ni Mungu ndani ya nyumba ndio unaita stable...? Yaani maisha ambayo mwanaume anamengi ya kuongea ila inatakiwa akae kimya ndio stability [emoji23][emoji23][emoji23] yaani maisha ambayo mwanaume kila kitu ambacho anatakiwa kufanya inabidi akitolee maelezo kwa kina na kwa nn akifanye ndio stability....? Bro ww ni advanced domozege. Kifupi huna exposure ila unazurula tu
 
Kwa hiyo unawajaza Hawa wadada ujinga eti waanze kutoka na waume za watu Nini?
 
Its just a matter of preference. Wako wanaume wanaotaka goodtimes wale na familia zao, na wanazipeleka familia zao viwanja vipya kutest the so called "mexican bbq" na viunga vyake. Ukijenga familia nzuri kwa juhudi, utavuna matunda yake.

Kama unahisi kuwa mbabe mbabe ndo uanaume, na kula good times na babes afu kwenye tra ndo umbebeshe mkeo, well and good..its your choice, and God is the judge of this choice and preference. Good times, bad times ziliwe ndani na mkeo na watoto. Be careful na mke unayetaka kumuoa maana hapa ndo patadetermine how your future will be. Shalom
 
Its just a matter of preference. Wako wanaume wanaotaka goodtimes wale na familia zao, na wanazipeleka familia zao viwanja vipya kutest the so called "mexican bbq" na viunga vyake. Ukijenga familia nzuri kwa juhudi, utavuna matunda yake.

Kama unahisi kuwa mbabe mbabe ndo uanaume, na kula good times na babes afu kwenye tra ndo umbebeshe mkeo, well and good..its your choice, and God is the judge of this choice and preference. Good times, bad times ziliwe ndani na mkeo na watoto. Be careful na mke unayetaka kumuoa maana hapa ndo patadetermine how your future will be. Shalom
Usiogope dada yangu life ndio lipo hivyo. Na unaweza ukawa mzuri kwenye familia hadi ukajisahau wewe lakini at the end of day ukaambulia maumivu.
 
Usiogope dada yangu life ndio lipo hivyo. Na unaweza ukawa mzuri kwenye familia hadi ukajisahau wewe lakini at the end of day ukaambulia maumivu.
Very rare of the rare cases. Its not very often. Tena katika 1000 cases basi 5, lakini agree with me, wazee wengi wanaoteseka, ujana wao waliwatesa wake zao.
 
Very rare of the rare cases. Its not very often. Tena katika 1000 cases basi 5, lakini agree with me, wazee wengi wanaoteseka, ujana wao waliwatesa wake zao.
Ni mwanamke aliyeolewa tu ndiye anaweza kuongea hivi, na wala sio kama anapinga bali anaumia mume kula Bata nje na totozi.
 
Very rare of the rare cases. Its not very often. Tena katika 1000 cases basi 5, lakini agree with me, wazee wengi wanaoteseka, ujana wao waliwatesa wake zao.
Hakuna kitu kizuri kama mwanaume kujiwekea misingi ambayo iyakulinda hadi uzeeni kwako. Yaani tengeneza miradi ambayo utaweza kuisimamia hata ukiwa kitandani. Hakuna majuto yoyote utayapata na utaishi vyema bila kutegemea huruma za mwanamke
 
Ni wapi wanaume wasiooa ni ngumu kupata mke?
Sio kama hawapati ila tu wamestukia kuwa kuoa ni utumwa, ngono isiyo na majukumu ni tramu bhana!
Kwani ukioa unakosa hivyo vitu.....? Mzee kula bata bila maarifa ni uzembe. Kuna sehemu ili upite utatakiwa uwe na familia hata kama ni ya mchongo. Play smart buda
 
Back
Top Bottom