

Mkuu wamebana kwa Diploma wote hakuna mkopo!Kwema Kirchoff jamaa hawajatoa tu mkopo?
Hahahaaaaa umuhim wa maj huonekanaa yakikatikaa siku zoteTundu Lisu upo wapi mabilioni yanakupita hapa!
Ukilishughulikia hili suala tutapata mikopo.
Kesho bunge linaanza Dodoma naomba mwenye account ya tindu lisu anipe ili niongee naye kesho aliongelee km dhalula ili tupate haki yetu km pesa tuludishie huu ni wiziTundu Lisu upo wapi mabilioni yanakupita hapa!
Ukilishughulikia hili suala tutapata mikopo.
Yaani kwa kila aliyekosa apewe sababu ya kwa nini kakosa siyo vile vigezo vya ujumla.Watoe Mara ngapi?